CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.Nikikamata hela nataka zuru kaburi lake
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.