Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utadhani mko the same age
Hapo chacha...
Mwingine anakuambia usinenepe kuzidi hapo ova mie mkewe.
Lol...ukikaa naye ni kunywa maji tu😆! Msos ugali mboga mboga🥵!🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Yule mzee alikuwa na lake, haiezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu
Tongoza ya kizamani, kampenda na anajua binti hawezi kumkubali kaamua kumdhalilisha. Binti mstaarabu Sana akiendelea hivi atafika mbali Ila Kwa Mzee WA Nyang'wale arudishwe Zama za Mawe.
 
Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.
Alikuwa na mume dogodogo miaka 30 kama sikosei.
 
Kama ni viti maalumu nakushauri tumia kichwa kikubwa kufikilia, zinakuwaga ni offer izo
 
Back
Top Bottom