masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #41
Haijalishi yule mimi roho na moyo wadunda wallahi!Haya madawa haya ya kujichubua! Mungu anayaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi yule mimi roho na moyo wadunda wallahi!Haya madawa haya ya kujichubua! Mungu anayaona
Linaweza likawa linajua ila nguvu hana, mapenzi yenyewe ya kizamaaani basi ye anajua ingiza toa tu mengine ayo utajua mwenyeweMazee ya hivyo hayajuagi sex..sana sana litakusumbua usk mzima litaftiwe limao lipikiwe chai ya limao😏
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona.[emoji2960][emoji2960]! Leo kidogo nimechangamka mamy..am sorry
I can imagine usumbufu ulowai kutana nao😂😂😂Mazee ya hivyo hayajuagi sex..sana sana litakusumbua usk mzima litaftiwe limao lipikiwe chai ya limao😏
Kwani tunazitafuta kwa ajili gani zaidi ya kuwatimizia ya kwao.Tafuta hela kijana
Ni kweliKwani tunazitafuta kwa ajili gani zaidi ya kuwatimizia ya kwao.
🤣🤣🤣🤣❌I can imagine usumbufu ulowai kutana nao😂😂😂
Mimi brain yangu haiwez connect na wazee dizain hiyo...never! Ila nakutana nao sana...anakukataza kula nyama yenye mafuta utadhan ameunda roho yakoI can imagine usumbufu ulowai kutana nao😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utadhani mko the same ageMimi brain yangu haiwez connect na wazee dizain hiyo...never! Ila nakutana nao sana...anakukataza kula nyama yenye mafuta utadhan ameunda roho yako
Hapo chacha...🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utadhani mko the same age
Aruuu!Mimi brain yangu haiwez connect na wazee dizain hiyo...never! Ila nakutana nao sana...anakukataza kula nyama yenye mafuta utadhan ameunda roho yako
Tongoza ya kizamani, kampenda na anajua binti hawezi kumkubali kaamua kumdhalilisha. Binti mstaarabu Sana akiendelea hivi atafika mbali Ila Kwa Mzee WA Nyang'wale arudishwe Zama za Mawe.Yule mzee alikuwa na lake, haiezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu
Alikuwa na mume dogodogo miaka 30 kama sikosei.Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.
🤣🤣🤣Aruuu!
Tupo wenye viwango....!
Ukiamka asbh unashangaa umepitiwa na train la SGR au...!
🙌Aruuu!
Tupo wenye viwango....!
Ukiamka asbh unashangaa umepitiwa na train la SGR au...!
Tena chumvi kwa mbaaali😂😂😂😂😂Hapo chacha...
Mwingine anakuambia usinenepe kuzidi hapo ova mie mkewe.
Lol...ukikaa naye ni kunywa maji tu😆! Msos ugali mboga mboga🥵!🤸♂️🤸♂️