Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Jadda huwa nawaza wewe ni mbabe Sana!
 
Wanawake wengi hata ukiwa na STK wanachanganyikiwa
Hawana muda wa kusoma au kutofautisha namba (T na STK au DFP au SU). Wao wakiona gari tu wanajua la kwako.

Ila sasa ajabu yale ya namba PT wanajua kuyasoma🤣😂
 
Lazima angeamini tu atafanyaje sasa na umeshampa vipande vyake🤣
 
Mhm na wewe acha ukorofi😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…