Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Unajua mwanaume ktk uanaume wake?
Unajua maana ya mwanaume?
We bwana we kila mtu ana tafsiri yake juu ya neno mwanaume na uanaume sasa wewe nipe tafsiri yako wewe siyo unakazana mwanaume katika uanaume wake kumbuka hata mashoga na mabasha nao ni wanaume ujue
 
We bwana we kila mtu ana tafsiri yake juu ya neno mwanaume na uanaume sasa wewe nipe tafsiri yako wewe siyo unakazana mwanaume katika uanaume wake kumbuka hata mashoga na mabasha nao ni wanaume ujue
Unakosea kusema mashoga na mabasha ji wanaume.

Mimi nataka nikuoee, mengine achana nayo
 
Sasa haujajibu hilo swali langu hapo juu
Swali kutojibiwa bado halina maana kwenye mimi kutakankukuoa au lah....
Swali sio la msingi sana kwenye mahusiano yetu...

Tujikite jinsi ya mimi kuwa pamoja na ww....

Tujikite huko!!!
 
Swali kutojibiwa bado halina maana kwenye mimi kutakankukuoa au lah....
Swali sio la msingi sana kwenye mahusiano yetu...

Tujikite jinsi ya mimi kuwa pamoja na ww....

Tujikite huko!!!
Kwani aggyjay hakutoshi? Au unataka nimtag kabisa ili aje aone jinsi ambavyo unataka kumsaliti?
 
Wanawake mnafanana kila kitu mnatofautiana mda tu wa kukubal

Hata ww tukikuamulia hpa hpa jukwaan unaingia kweny mstar na tunakutumia[emoji16][emoji16]
Mbona mimi mneniamulia na hamjangonga
 
Back
Top Bottom