katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
- Thread starter
- #121
Situnaongea tu au nini shida ??Ni utani tu. Umetufkiria vibaya mbna hatujakuamulia[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Situnaongea tu au nini shida ??Ni utani tu. Umetufkiria vibaya mbna hatujakuamulia[emoji16][emoji16]
Edelyn hujakutana na mtoa sound makini akiwa ameweka mkono kwenye usukani. Mzigo utautoa kwa kasi ya bombardier.Tatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Wanawake wanaodanganyika na hizo sound ni wale wenye tamaa wasiojua tabia za wanaume ila kwa sisi tunaojua tabia za wanaume utafikiri tumewazaa huwa tunajua tu hapa hana lolote mwache aendelee kupigia mbuzi gitaa kwa kifupi mimi siwezi kutoa mzigo kwa sababu yoyote ile isipokuwa kwa mapenzi yangu mwenyeweEdelyn hujakutana na mtoa sound makini akiwa ameweka mkono kwenye usukani. Mzigo utautoa kwa kasi ya bombardier.
hata sio bei kubwa, ni nyie tu kuamua otherwise tutawagegeda hadi machoni
Woiii kwanza inategemeana na gari yenyewe😂😂Wewe usidanganyike na maneno...angalia vitendo....yaani kuna tofauti kubwa sana ukiwa na gari unawavua chupi utakavyo hadi raha jamani. Dah waendelee tuu kuyapenda magari ili tuwagegede vizuri na mjini bila mkoko hupati mrembo mzuri.
Ukikaa ndani ya markx au range lazima kyupi ilowe hahahaWoiii kwanza inategemeana na gari yenyewe😂😂
Sina gariii,sina byc ila kuna magari yanatia homa tu na muonekano Wake
Aah we thubutuUkikaa ndani ya markx au range lazima kyupi ilowe hahaha
Gari gani sasa mnazisemea?Gari na dada zetu ni kama mbwa kwa chatu au sumaku na bati
Ah wee range sport mpya full unyunyu kyupi isipo lowa mie najinyongaAah we thubutu
Chizi weeAh wee range sport mpya full unyunyu kyupi isipo lowa mie najinyonga
Maybe na wenye magari nai hawajawahi kukutetemekea.Hivi kwani gari ni nini? Sijawahi mtetemekea mwanaume kisa ana gari.
Sawa mie chizi lakini ndio ukweli wenyewe huo.Chizi wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Unawatafta au wanakutafta, mfno kama mim unaanzia wapi kunitafta, ukijilengesha tuu tayari wewe nakuweka kundi la changudoa na unakuwa hauna thamani kwangu tena.Yaani mimi ningesema nitafute wanaume wenye magari basi hata hao wenye Kluger na Harrier bado ningewadharau maana kwangu mimi naona hizo gari hata wenye pesa za kawaida wanaweza kuzimiliki achilia mbali wenye Vits na Passo hao ndo kabisa hata salamu zao nisingekuwa najibu mimi ningewatafuta wale wenye Range Rover na Land Cruiser tena new models siyo old models sema basi tu ni vile kwangu mapenzi siyo magari
ItakuwaMaybe na wenye magari nai hawajawahi kukutetemekea.
HahahaLeo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu.
Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo dada na pia amelala naye mara kibao akizani ni tajiri.
Imepita miezi kama minne na huyu jamaa haji tena kwa msichana na wala hampi lift.
LEO MIDA YA SAA 11
Ameshuka kwenyw kidaladala akaona lile gari akalikimbilia julius julius subiri kwa maana lilipaki mbele ya haice aliyokuwepo ndani yake halafu ilimshusha msichana .
Kushuka nakuita kwa sauti..
Gari ikasimimama ila sio yeye ni mtu mwingine kuhojiana yule alikuwa dereva na yupo off kwa leo .
Dar wadada tuweni makini wengine nivibarua tujipende kwani gari shillingi ngapi