Basi ana mibuyu mingi, mimi huziona za kumsifia mtu aliyemtaja humo.Mada zako nyingi unajitaidi kuzunguka mbuyu ila maudhui yako unalenga waislam sana na uislam(NADHANI UNAPATA SANA FRAHA KWA HILI) Nikukumbushe tu sijaona dini ilokamilika
Samahani kwa mawazo yangu mkuu. na ukweli nachukia udini na dini yoyote ni utumwa
Hivyo ulivyotaja ni 0.0000001% ya kiasi cha mafuta kinachotumika duniani at any given timeHakuna mtambo wowote,unaotumia aina yoyote ya nishati,bila kutumia vilainishi(lubricants,Oil)ili mtambo huo ufanye kazi kwa ufanisi.Na oil ni zao la mafuta yanayotoka ardhini,kwa hiyo ujuwe na ufahamu ,bei ya vilainishi itakuwa kubwa kuliko kawaida,hivi sasa vipi vilainishi vina bei kubwa,hasa vyenye ubora wa hali ya juu,na ni wachache wanaomudu kununua.
Mfano mwepesi ni baiskeli,baiskeli bila kilainishi cha grease,hakiwezi kufanyakazi kwa ufanisi,tairi za gari,bila grease hazifanyikazi vizuri,mtambo aina yote bila grease mzunguko haupatikani katika bearings.Bila vilainishi vyuma vya mitambo vitasagana,na havitafanyakazi vizuri,gearbox za mitambo,bila vilainishi havitafanyakazi vizuri,breki za gari bila oil,hazifanyikazi,sukani zinatumia oil za haidroliki,mitambo ya ujenzi inatumia oil za haidroliki,nk.Kwa hiyo usijidanganye kama mafuta yatapoteza solo duniani,ndio yatazidi kupanda bei kwa mafuta ghafi.Tuombe Mungu atusaidie,tutaumia zaidi kwa being kuwa kubwa kwa vilainishi,mafuta ya petrol ndio pia yanayotengenezewa gundi za bila aina unaziziona,za kuunganisha mpaka vitu muhimu vya magari mpaka rangi za ukutani na viatu ulivyovyaa.
Usione were una kigari chako kidogo unafanya service,ya kumwaga oil, kila baada ya miezi sita wakati malori, ma semi trailer, mabasi, mitambo mikubwa ya ujenzi, kila baada ya safari moja ya kazi, inabadilishwa lita kadhaa za oil, kunatumika drum(pipa ndogo)kwa kufanyia service.Hivyo ulivyotaja ni 0.0000001% ya kiasi cha mafuta kinachotumika duniani at any given time
Halafu tambua, motor za umeme zinatumia grease kidogo sana na hazitumii oil, pia transmission zake ni zile za CVT yaani Cable/ belt continuously variable transmission, haitumii gear box lenye magia, hivyo hazitumii oil piaUsione were una kigari chalk kidogo unafanya service,ya kumwaga oil,kila baada ya miezi sita,wakati malori,ma semi trailer,mabasi,mitambo mikubwa ya ujenzi,kila baada ya safari moja ya kazi,inabadilishwa lita kadhaa za oil,kunatumika drum(pipa ndogo)kwa kufanyia service.
Si ajabu hata kigari kibovu hanaUsione were una kigari chalk kidogo unafanya service,ya kumwaga oil,kila baada ya miezi sita,wakati malori,ma semi trailer,mabasi,mitambo mikubwa ya ujenzi,kila baada ya safari moja ya kazi,inabadilishwa lita kadhaa za oil,kunatumika drum(pipa ndogo)kwa kufanyia service.
Train(gari-moshi) za mwanzo zilikuwa zikitumia makaa ya Mawe kama nishati ya Kuziendesha, baadaye zikaanza kutumia nishati ya mafuta, tuliamini ndio mwisho wa matumizi ya makaa ya mawe. Hivi sasa makaa ya mawe yana thamani zaidi kuliko kipindi cha train za nishati ya makaa ya mawe.Halafu tambua, motor za umeme zinatumia grease kidogo sana na hazitumii oil, pia transmission zake ni zile za CVT yaani Cable/ belt variable transmission, haitumii gear box lenye magia, hivyo hazitumii oil pia
Mnaondelea kuota ndoto za mchana mko wengi sana hasa kipindi hiki cha Jiwe. Kwa kifupi umasikini utazidi kuwa mkubwa kwa kila mtu kadri siku zinavyosonga, hadi mfumo mpya wa dunia utakapokuwa umekamilika yaani NWO.Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi yatakapopigwa marufuku. Nchi nyingi za ulaya zitapiga marufuku magari yenye sumu ya ukaa by 2030. Vinu vya nuklia vya umeme vitaongezeka kwa kasi ulaya na marekani, mabwawa ya umeme na wind mills pia (clean energy).
Africa peke yetu ndio tutabaki kuwa soko la sumu (fossil fuel) toka kwa waarabu hasa Saudi Arabia, hali itakayofanya waarabu kugombea kutuuzia mafuta inexchange for grains na vyakula vya aina nyingine. Katika kulijua hili na kwa kuona kwake mbali mh.JPM ameshaanza mchakato wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme almaarufu kama Stieglers gorge litakaloweza kuzalisha MW 6000 at full capacity, ili magari yanayotumia sumu ya ukaa (fossil fuel) yatakapokuwa phased out na magari ya umeme bas Tanzania tutakuwa tunajidai tu; pia Mh.JPM anaendelea na mchakato wa ujenzi wa reli ya SGR ambayo nayo itatumia umeme.
Waarabu wanahali mbaya sana, na Dubai wamegundua hatari hii, ndio maana wanabadilisha utegemezi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye utalii, hadi wanajenga visiwa bahari (Palm island). Waarabu literally watakuja kupiga magoti Tanzania in particular wakiomba tuwapatia walau tani milioni kadhaa za nafaka, kwani bwawa la stiegler's gorge litawezesha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuongeza uzalishaji mara 50 kiasi cha kuweza kulisha Afrika nzima. STIEGLER'S OYEE,pale Sinza watajaa watoto wakali toka uarabuni, itakua ni kujichagulia tu, STIEGLER'S OYEEE, JPM OYEEE...!
Bila kusahau kwamba ongezeko la vinu vya nuklia itasababisha uhitajicmkubwa sana wadini ya URANIUM, hivyo kwakuwa Tanzania inamigodi ya URANIUM kwa wingi sana huko Lindi, basi waMarekani na wazungu kwa ujumla hawatakua nabudi bali kutulamba miguu ili tuweze kuwapatia hiyo URANIUM tuliyonayo, na si ajabu kasi ya uchimbaji madini hayo imeongezeka sana huko Lindi, kiasi by 2030 inaweza ikawa imeisha, ningeomba kwa sasa JPM asitishe usafirishaji/utoroshaji wa Uranium hadi pale mustakabali wa suala hili utakapoeleweka ili tuje kuiuza baadae kwa bei ya kuringa na kunata, kuliko hivi sasa wanavyojichotea Uranium kama ya bibi yao vile, hili halikubaliki.
Kioande kidogo tu cha Uranium kinaweza kuzalisha umeme wa kuilisha Marekani kwa miaka hata 10, acheni utani na masikhara kwenye Uranium yetu, tunaijua thamani yake, waTanzania wa sasa tumeelimika!
Wapuuzi huwa wanapeana tano sana katika maneno yaoHata kama, bado waarabu watapata tabu sana come 2030, acha kuwafariji bhanaa..; na ma amber rutty toka Saudia watajazana sana Sinza.., hahah
Hizo propaganda za NWO peleka Jamii intelligenceMnaondelea kuota ndoto za mchana mko wengi sana hasa kipindi hiki cha Jiwe. Kwa kifupi umasikini utazidi kuwa mkubwa kwa kila mtu kadri siku zinavyosonga, hadi mfumo mpya wa dunia utakapokuwa umekamilika yaani NWO.
Hata kama, bado waarabu watapata tabu sana come 2030, acha kuwafariji bhanaa..; na ma amber rutty toka Saudia watajazana sana Sinza.., hahah
Nakupa facts unasema ninachuki? Wewe ni masikini wa pesa na fikra piaAlinacha katika ubora wake.hivi kwani ukiwa unachukia kitu kuna chochote unachoongeza ktk maisha yako.Ama kweli ukiwa masikini hata namna yako ya kufikiri lazima iandamane ktk kuwachukia matajiri sijui kwa nini.Umasikini kweli ni laana.
Ethiopia japokuwa wana zalisha umeme kwa wingi lakini hata 10000Mw hawajafika bado wanacheza kwenye 6000mw(kwa kuwapendelea). 40GW labda kwa South Africa.Inakuwaje ethiopia wameweza kutumia maji kuzalisha megawati 40000 za umeme huku sie daily tunapiga mark time na megawati zetu zisizpfika hta 10000