Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

No wonder why jamaa wameshika kasi kuwa Karibu na makoloni Yao ya zamani.

Hizi kelele za kudai Zanzibar itoke katika Muungano Nina uhakika hazitokani na matakwa ya wazawa sasa naanza kukubaliana na wasiwasi wangu nani yupo nyuma ya Hilo jambo.
Wazawa tunaitaka ZANZIBAR yetu wacha kujifariji
 
Sasa jibu hoja kama ilivyo na sio kuleta mipasho ya kidemu demu hapa. Mkandarasi kuwa mwarabu inabadilisha vipi hoja kwamba wazalishaji wa kiarabu wa mafuta watakua omba omba wa chakula Afrika baada ya dunia kuanza kutumia magari ya umeme na kuachana na nishati ya mafuta? Kusema hata vifaa vya umeme hutumia mafuta ni sawa na kusema bahari ikianza kukauka tutaujaza kwa kutumia ndoo za kubeba kichwani, absolute bogus shit!


Haiji kutokea ndege kutumia umeme wa kuchaji na haiji tokea meli kutumia umeme wa kuchaji. matumizi mengine ya mafuta wachangiaji wameshachangia, hata Malori tu sijui itakuaje yasipotumia mafuta

Mafuta ya kuchimbwa yanatengenezewa hadi Mbolea, madawa na vitu vingine vingi sana labda mwenzetu hukusoma Organic chemistry topic ya chemistry ya kidato cha nne au ndio nyie mlichukua michepuo ya arts
 
Haiji kutokea ndege kutumia umeme wa kuchaji na haiji tokea meli kutumia umeme wa kuchaji. matumizi mengine ya mafuta wachangiaji wameshachangia, hata Malori tu sijui itakuaje yasipotumia mafuta

Mafuta ya kuchimbwa yanatengenezewa hadi Mbolea, madawa na vitu vingine vingi sana labda mwenzetu hukusoma Organic chemistry topic ya chemistry ya kidato cha nne au ndio nyie mlichukua michepuo ya arts
kwann unajiaminisha haitakuja tokea mkuu?ndege nyingi tu ziko kwenye hatua za majaribio zinaruka kwa nishati ya jua (solar)..zipo meli nyingi tu za kirusi zinatembea kwa nguvu ya vinu vya kinyuklia mbona?kama ulikuwa hufahamu manowari (aircraft carriers) nyingi tu za kimarekani zilikuwa zinaendeshwa kwa nguvu toka vinu vya nyuklia..embu soma hii:
kuhusu malori kwa sasa kampuni kubwa la kimarekani la magari ya umeme liitwalo Tesla liko njiani kuachia "semintrela" inayoendeshwa kwa kutumia betri za kuchaji. Angalia hapa:
kila kitu kinawezekana mkuu usiseme never..ni matter ya mda tu mijitu mijiniazi utashangaa imegundua hata vyombo vya kwenda kutua kwenye Sayari ya Jua pamoja na joto lake lote
 
kwann unajiaminisha haitakuja tokea mkuu?ndege nyingi tu ziko kwenye hatua za majaribio zinaruka kwa nishati ya jua (solar)..zipo meli nyingi tu za kirusi zinatembea kwa nguvu ya vinu vya kinyuklia mbona?kama ulikuwa hufahamu manowari (aircraft carriers) nyingi tu za kimarekani zilikuwa zinaendeshwa kwa nguvu toka vinu vya nyuklia..embu soma hii:
kuhusu malori kwa sasa kampuni kubwa la kimarekani la magari ya umeme liitwalo Tesla liko njiani kuachia "semintrela" inayoendeshwa kwa kutumia betri za kuchaji. Angalia hapa:
kila kitu kinawezekana mkuu usiseme never..ni matter ya mda tu mijitu mijiniazi utashangaa imegundua hata vyombo vya kwenda kutua kwenye Sayari ya Jua pamoja na joto lake lote


Nuclear resources ndio zitaisha mapema sana maana hizo zipo kidogo ardhini kuliko hata mafuta. Na kitu kingine teknolojia ya nyuklia ni ghali kupita maelezo kusema watai'deploy' kwenye meli na ndege za kibiashara hicho kitu hakiwezekani

Ngoja tuone hiyo technology mkuu tusubirie au una preliminaries tayari?

Meli zinatumia tonnes zaidi ya mia mbili za mafuta kwa siku sasa utaweka betri gani maana hata hao wazungu wanakuambia basis yao ya kukacha combustion engines ni sababu ya uchafuzi wa hali ya hewa
 
Nuclear resources ndio zitaisha mapema sana maana hizo zipo kidogo ardhini kuliko hata mafuta. Na kitu kingine teknolojia ya nyuklia ni ghali kupita maelezo kusema watai'deploy' kwenye meli na ndege za kibiashara hicho kitu hakiwezekani

Ngoja tuone hiyo technology mkuu tusubirie au una preliminaries tayari?

Meli zinatumia tonnes zaidi ya mia mbili za mafuta kwa siku sasa utaweka betri gani maana hata hao wazungu wanakuambia basis yao ya kukacha combustion engines ni sababu ya uchafuzi wa hali ya hewa
Ni kweli ni expensive kutokana na technolojia iliyopo sasa. Who knows mbeleni kuna nn?usishangae ukaambiwa planet Mars au Venus jamaa wamegundua mamilioni ya Tani za madini ya uranium watakuwa wanapeleka shato huko kwenda kuchuku mzigo na kurudi..wanasema wenyewe sky is not the limit.Your imagination is
 
Halafu tambua, motor za umeme zinatumia grease kidogo sana na hazitumii oil, pia transmission zake ni zile za CVT yaani Cable/ belt continuously variable transmission, haitumii gear box lenye magia, hivyo hazitumii oil pia


Hivi vifaa asilimia kubwa vinatumia oil ifuatayo

Zote hizo zinatumia oil, cc oil, transmission oil, hydrolic oil, grease, break fluid n.k.

Greda
Wil loader
Compactor
Dozzer
Excavator
Trucks
Magari madogo n.k

Piki piki na baikeli pia zinatumia grisi n.k.

Kama hujui hivi vitu usiropoke.
 
Elimu! Elimu! Elimu! Ulichoandika kina mapungufu makubwa ya takwimu na uhalisia!
 
Bei ya mafuta inatarajiwa kusha hadi kufikia negative price, yaani mtu unalipwa ili kuchukua mafuta, pia chakula kinatarajiwa kuadimika zaidi duniani kipindi hiki cha Corona, hivyo tunashauriwa kutilia mkazo kilimo.
 
Back
Top Bottom