Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Unataka kusemaje mkuu?Marwa ? Sawa
Atakuwa amechangia damu syo mkurya Orgππππ, Mtoto kapewa jina zuriii afu kamgeuza mtaji jamnMwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Wanaume baadhi ni makatili sana hasa linapo kuja suala la utafutaji yuko radhi hata alale na mama yake ili apate pesa.Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
HongeraKuna watu tunatafuta watoto wengine wanaua!
Mtoto wa miezi 4 mmesoma naye wapi mkuu na hayo mapengo?π unafanya nicheke wakati ni habari ua huzuni jamaniR.i.P Classmate...π₯
Dunia inamambo, wenye navyo hawaoni thamani, wasionavyo wanavitamani..Kuna watu tunatafuta watoto wengine wanaua!
Imeniuma sana mkuu...π₯[emoji86]
Toba yarabi sina mtoto ila tumbo la uzazi limenichezaMwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Imeniuma sana mkuu..π₯Mtoto wa miezi 4 mmesoma naye wapi mkuu na hayo mapengo?π unafanya nicheke wakati ni habari ua huzuni jamani
Yaani, tutafute woteKuna watu tunatafuta watoto wengine wanaua!