kariobangii
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 515
- 671
uislam ndio suluhisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenya maji ya chumviNa yeye abanwe pumbu,kisha atumbukizwe kwenye tenki au kisima
Akamatwe na kupigw vidole kabla ya kwenda jela. Mkoa wa Mara ni kama vile Zanzibar, umelaanikaMwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Dogo alipangiwa kufa hivyo Pindi tu alipozaliwa.Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Marwa amekosea sana tena kwa kukusudia 🐒Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Mbona hujasema kuwa unatafuta! 🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️Kuna watu tunatafuta watoto wengine wanaua!
Shida nyingine Tena hapa, classmate?R.i.P Classmate...😥
Mzee kumbe kila mtu ni classmateR.i.P Classmate...😥
Shida watu hawana elumu ya uwekezaji,again mtu akiwa naive anasukumwa na tamaa ya faida bila kuangalia process,last year nilijaribu biashara niliyofanya piloting kwa muda mrefu,nikaingia maxima haikujibu,ni Pilipili Kali Sana kuimeza,madeni ni shida na hasa kwa wafanyajazi.JATU WAMEKULA,DECI ILIKULA,MR KUKU AMEKULA,MIkopo umiza inakula.Afya ya akili haikwepeki.Madeni ni ugonjwa mwingine kwenye familia. Watu wana stress mtaani kwa ajili ya madeni.
Natafuta kimoyomoyo😂Mbona hujasema kuwa unatafuta! 🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️