Tetesi: Jamani tunaelekea wapi?😰

Tetesi: Jamani tunaelekea wapi?😰

Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.

Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Laana hii....

Huyo atakuwa alihisi hata huyo mtoto sio wake.
Hata kama ndio hivyo ila kuua mtoto wa miezi minne ni zaidi ya unyama.

Huenda huyo jamaa ana matatizo ya akili, wasisahau kumpima hili.
 
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.

Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Kuna mmoja kule Morogoro alisema "...hivi vikundi vya kusaidiana havina faida, kila siku tunachangia wenzetu tu, haikupita wiki mwanaye akiwa na bodaboda akagongwa na lori"
 
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.

Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Watu wa mara wajengewe uzio hilo ni taifa tofauti ndani ya taifa!
 
Mtu anaona anachangia wengine tu kwenye kikundi... Yeye hana function ya kuchangiwa...

Atafanyajee na madeni yamemkaba? Uhakika wa kupata michango upo.. Ila tukio la kupata michango ndio mtihani...

Hela ni nyokooo
 
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.

Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Uyu marwa ni mwalimu?
 
Kuna behind the scene hapa si bure ....
Wanaume wengi hawaamini watoto waliozaa na wake zao kama ni wao kweli ...
 
Hii iwekwe kwenye moja ya matukio magumu kuwahi kutokea Tanzania,2024...so sad 😭
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.

Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
 
Yabidi kabla mnyonga atafutwe mama wa mtuhumiwa atueleze kama kweli Marwa ni mkurya haingii akili kukatokea mkurya anamuita mtoto Celine kisha asubiri achangiwe jasho la watu kwa kunyonga mtoto inatafakarisha sana au ndo kusema zama zimebadirika mpaka mavijana ya hovyo yametokea Tarime, kweli unaua mwanao ili uchangiwe
 
Back
Top Bottom