Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanayochangiwa na umaskini uliokithiri na zaidi kuona umaskini ni kitu cha kawaida.Aiseee matatizo ya afya ya akili yameongezeka.
Una matatizo ya akili hujijui tu. Unafanya kejeli kwenye msiba wa mtu.R.i.P Classmate...[emoji26]
ushasikia Kuna baba kaua mwanawe huko ?laiti unayosema yangekua ni kwel ungekuta mashariki ya kati hakuna mtu anae uliwa.
Mengine ni kuacha yapite tu..sijui anania ya kuchekesha...wakati hakuna la kuchekesha hapo..Mtoto wa miezi 4 mmesoma naye wapi mkuu na hayo mapengo?[emoji2] unafanya nicheke wakati ni habari ua huzuni jamani
Ukipewa hiyo kazi unaweza kufanya mpaka mwisho wa siku alizopangiwa kuishi..au umecomment tu kwa hasira.Huyu inatakiwa abanwe pumzi akikaribia kukata roho aachiwe akihema kidogo abanwe pumzi akikaribia kukata roho aachiwe mpaka uzee wake.
Mapumziko ni saa ya uji tu, nao abanwe pua akihema na mdomo amiminiwe ukiwa na moto ambao utamuunguza ila haumuui. Halafu zoezi la ubanwaji pumzi liendelee.
Lazima ifanywe na mtu mmoja? And yes, nimecomment kwa hasira.Ukipewa hiyo kazi unaweza kufanya mpaka mwisho wa siku alizopangiwa kuishi..au umecomment tu kwa hasira.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Thanks so much mwaya and you tooR.I.P Little Angel
Thanks so much mwaya and you too
Israel inaua watoto wakipalestina kila dakika.ushasikia Kuna baba kaua mwanawe huko ?
Haaaahaaa clasmate anamiezi minne.we jamaa haupo sirias .R.i.P Classmate...😥
Sasa Israel ni nchi ya kiislam?Israel inaua watoto wakipalestina kila dakika.
Syria. , Iran Iraq kila siku kuna mauaji hadi ya wenyewe kwa wenyewe Acha kujizima data kisa mapenzi ya dini.Sasa Israel ni nchi ya kiislam?
wewe ndiye unajizima data na kujipofusha akiliSyria. , Iran Iraq kula siku kuna mauaji hadi ya wenyewe kwa wenyewe Acha kujizima data kisa mapenzi ya dini.
Punguza mihemko , nakuuliza swali tena suluhisho la maauaji linaweza vipi kuwa uislamu wakati tuna ona nchi za waislamu kila siku kuna mauaji ya kutisha?wewe ndiye unajizima data na kujipofusha akili
nimeandika suluhisho ni uislam Sasa wewe unaniletea hoja zisizo na mashiko,kama hoja ipo juu ya upeo wa akili yako ni vyema ukaficha ujinga wako
elewa maana ya uislam kabla kucomment pumba
Huko ni kiwandaniAiseee matatizo ya afya ya akili yameongezeka.