Tetesi: Jamani tunaelekea wapi?😰

Tetesi: Jamani tunaelekea wapi?😰

UMASKINI WA WATANZANIA....hawa ndio wale wanaosemaga wanatosheka na miambilimbili
 
Angemuuza akiwa hai angepata mtonyo mrefu kuliko huo wa kuchangiwa.
 
Huyu inatakiwa abanwe pumzi akikaribia kukata roho aachiwe akihema kidogo abanwe pumzi akikaribia kukata roho aachiwe mpaka uzee wake.

Mapumziko ni saa ya uji tu, nao abanwe pua akihema na mdomo amiminiwe ukiwa na moto ambao utamuunguza ila haumuui. Halafu zoezi la ubanwaji pumzi liendelee.
Ukipewa hiyo kazi unaweza kufanya mpaka mwisho wa siku alizopangiwa kuishi..au umecomment tu kwa hasira.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Haiwezi kuwa damu yake, siwezi ku suffocate mtoto wangu pipi kisa madeni😂
 
Nimeona jana ITv
Watu Wana roho za kikatili sana aisee
 
Syria. , Iran Iraq kula siku kuna mauaji hadi ya wenyewe kwa wenyewe Acha kujizima data kisa mapenzi ya dini.
wewe ndiye unajizima data na kujipofusha akili
nimeandika suluhisho ni uislam Sasa wewe unaniletea hoja zisizo na mashiko,kama hoja ipo juu ya upeo wa akili yako ni vyema ukaficha ujinga wako
elewa maana ya uislam kabla kucomment pumba
 
wewe ndiye unajizima data na kujipofusha akili
nimeandika suluhisho ni uislam Sasa wewe unaniletea hoja zisizo na mashiko,kama hoja ipo juu ya upeo wa akili yako ni vyema ukaficha ujinga wako
elewa maana ya uislam kabla kucomment pumba
Punguza mihemko , nakuuliza swali tena suluhisho la maauaji linaweza vipi kuwa uislamu wakati tuna ona nchi za waislamu kila siku kuna mauaji ya kutisha?

Kichwa chako kimefikiri nimeukashifu uislamu 😁😁😁 jibu kwa hoja ili tuutambue uislam ni upi na hayo mauaji yanafanywa na kina nan kwenye hizo nchi zenye waislamu ili tuweze kuutofautisha uislam na uovu.
 
Back
Top Bottom