Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Ndio muwafundishe kutoa maneno ya hekima,hivi kweli we unawasiliana na mtu halaf mnatukanwa tena kwao hakuna single mom na unatujua wanawake hatunaga vifua ,aliwah omba msamaha humu kaacha kutukana wanawake leo ,wanaume wengi wanaotutukanaga humu huwaga hawanaga mbele wala nyuma
Hajui huyo utamu wa single mother mpotezee tu
 
E06C1BB6-E07A-4536-AA86-007284A130FE.jpeg
Utu uzima upi?
 
Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
wanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips
 
Back
Top Bottom