Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Msamehe bure mkuuUliambiwa ndoa lazima,we mbona hujaoa nawe huna maana,sisi single mom tumekukosea nini kwenu hakuna walozalishwa huko tukiwa na ndoa we unafaidika nini
Watu wengine bana
Hajui huyo utamu wa single mother mpotezee tuNdio muwafundishe kutoa maneno ya hekima,hivi kweli we unawasiliana na mtu halaf mnatukanwa tena kwao hakuna single mom na unatujua wanawake hatunaga vifua ,aliwah omba msamaha humu kaacha kutukana wanawake leo ,wanaume wengi wanaotutukanaga humu huwaga hawanaga mbele wala nyuma
bora ulivyokuja cool!haya siku mingne hao masela mnaoendana age wakusaidiege!grow up!Mbona hio sio siri.
Msinitoe roho basi nisameheni. Leo sikukuu ya ekarist takatifu.
Hafu sio kila kitu mnapaniki ndo maana hamuishi kuumwa presha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tu
wanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips
na ww wale wale !laiti humu tungeamua kueleza ukweli tumelelewa na nan bas kebehi km hiz na utoto huu usingekuwepo!msidhan wanapenda!grow up![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Asanteeee Kipenzihhahhha yupo mid 30's huyu!43 ni Asprin
hope upo poa !nahis leo hujaenda kanisani!lolAsanteeee Kipenzi
Ndio kwanza nimebalehe mwaka jana, sina hata ndevuAisee itabidi tuanze kukuita babu nani vileee[emoji23] [emoji23]
Sijaweza kwenda aiseee!hope upo poa !nahis leo hujaenda kanisani!lol
na ww wale wale !laiti humu tungeamua kueleza ukweli tumelelewa na nan bas kebehi km hiz na utoto huu usingekuwepo!msidhan wanapenda!grow up!
pole !tumkatae shetan!Sijaweza kwenda aiseee!
[emoji23][emoji23][emoji23]Msitunyanyapae wahenga..
sijamanisha umewah nitukana!huwa mnaanzisha kbs nyuzi kuwasema sema ma single moms!... bdw mm sio single mom!Mungu badohajaamua !ila mbadilike !kebeh zinazid!samahan kwa kukukosea!mmmh. nilishawahi kukutukana au kuwatukana?
umenikosea heshima saana kuniita mimi wale wale na kuniambia grow up.
Kwakweli hilo linamfaa kabisanyokolilo wewe!
[emoji106]sijamanisha umewah nitukana!huwa mnaanzisha kbs nyuzi kuwasema sema ma single moms!... bdw mm sio single mom!Mungu badohajaamua !ila mbadilike !kebeh zinazid!samahan kwa kukukosea!