Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Hajui huyo utamu wa single mother mpotezee tu
 
Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
wanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…