Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Watu wamesoma kilomita humu mpk basi ila kwa kujibebisha sasa.
Hhaahahaha mkuu umenichekesha. Yani hizo millage ni zaidi ya madanga lakini utasikia nahtaji mchumbe aje awe mume au mke umri 28-36. Siku zote hizo walikuwa wapi?
 
Vijana wa siku hizi wanashinda Facebook, Insta na kwingineko, huwa najiuliza hivi hizi changamoto za kipindi kile cha uhuru, hawa vijana wangezimudu kweli? Kama jana wamekua na Mkutano wa CCM Vijana hawajatoa tamko lolote? Wao ni kusifia tuuuuuu
 
Ni kweli usemalo ila namaanisha humu vibibi ni wengi mno cyo kama huko kwengine tunapo oneshaga nyago
 
Humu nasikia mpaka mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo, tunatoa nao upupu kama kawaida
Hahaaaa kweli kabisa mkuu. Viongozi na watu maarufu wapo wakina shoza sjui mgwira. zito . mayala. Mwiguru n.k ..wengne wameficha ID zao . usije shangaa MNA bebishana kwenye simu siku live kangi lugola huyu hapaa
 
Miaka chini ya 28 nitafute mchumba mtandaoni??, utakuwa una matatizo sio bure. Anayway Kama humu wote ni wahenga basi no wonder why uchumi wa nchi yetu unashuka maana kuna baadhi ya michango ya watu humu unaweza kujiuliza alitumia kiungo kipi kufikiria kabla hajachangia.
 
Safari njema kwanza huku mlipotea njia plz Beira baby ongoza kundi lako mrudi fb.
 
Hahaaaa kweli kabisa mkuu. Viongozi na watu maarufu wapo wakina shoza sjui mgwira. zito . mayala. Mwiguru n.k ..wengne wameficha ID zao . usije shangaa MNA bebishana kwenye simu siku live kangi lugola huyu hapaa
hahaha huyu hapa ....jf ni hatari sana πŸ˜€πŸ˜€
 
Saaaana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…