Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Watu wengi wamezidi kumkubali baada ya Serikali kuanza kumuogopa rasmi ndani ya miezi hii.Mange amefanya kila kiongozi azunguke nchi pasipo kujiandaa akiwemo raisi pia matamko ya vitisho vilivyokosa uelekeo.Kazi wanayo maana maandamano ndio yanazidi kunoga.Huko Katoro jirani na chato mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]☄️☄️NASIKIA VIPEPERUSHI VIMEMWAGWA KILA KONA☄️☄️☄️☄️☄️☄️☄️☄️
 
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza kusimama tena amening'iniza map#mb# yake mbele ya wanaume wenzake na kuanza kumsifia Mange kimambi?

Wanaume wako wanaoongoza nchi wameshindwa kusimama majukwaani bila kumtaja itakuwa raia wa kawaida.Acha kumtukana raisi wako kijanjajanja wewe funguka.
 
Wanaume wako wanaoongoza nchi wameshindwa kusimama majukwaani bila kumtaja itakuwa raia wa kawaida.Acha kumtukana raisi wako kijanjajanja wewe funguka.
Ni aibu kubwa kwa mwanaume kumsifia mwanamke kuwa ni shujaa wako.
 
Ukweli ni kwamba Mange na yote yaliyompa umaarufu na mvuto wa kisiasa unaochemka ni kazi ya Uongozi wetu. Yaani ni mavuno ya kilichopandwa
 
Jina Nkamia alianza hoja ya binafsi ya miaka saba. Kwa kiburi Bashite alisema rais Magufuli atagombea tena 2025
Leo rais anasema yeye ni wa kupita kweli 26/4 ni mwiba
 
mange ni mpumbavu aliye nyuma ya keyboard kama kweli ni heroine arudi Tz aone
 
Messi ndio mkali kuliko wote.
Hao wakina kimambi tupa kule messi ndio kila kitu..
Mtu anacheza na mpira kama vile alizaliwa nao
 
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza kusimama tena amening'iniza map#mb# yake mbele ya wanaume wenzake na kuanza kumsifia Mange kimambi?

We unaonaje???

Kama wewe na upunga wako umesimama na kutukisa tako lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…