Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

mange tyako tuuu yule hana lolote

unadhani kuwa watu hawana habari wanazo sana ndo wanao mpa uyo mange wako

tatizo ni sheria mbovu wee iseme tuu kama uwendi kunyia debe
 
Tz haiwezi ikawa na hero mtukanaji kama yule
Ni kweli, kuna watu wanaonekana makini kwakua, wanasimamia kwenye Hoja, sasa yule anapandisha munkari na kuanzia kutokana watu matusi Mazito na kashfa kama choo cha stendi.

Hapo ndipo anapoharibu.!!

Kwa yeye kua "Hero" itachukua Muda. Anahitaji Parental Guidance rating..
 
...

Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
...

Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.

Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa...

heradius12: natamani niamini uko timamu lakini busara inakataa. Sikuelewi kabisa kwamba tunayajua ya serikali kaarifa za huyo binti! Kwamba siri za serikali zinavujishwa kwake! Kama ni kweli idara ya usalama inapaswa kufumuliwa
 
Hero -male
Heroin -female
Ni sahihi tu mkuu ila nipo nawe, Mange is the real heroin amongst women.
 
Tanzania ya viwanda ,,,mange ni hero duuh ,,hero wa wap hivi embu nikumbusheni !!
 
Hao walizo nazo kwann wasizitoe wao lkn wanampa mange atoe hizo habari? Afu inaonekana hata ww hujiamin. Km una habar toa watu wasome

Ivi ndugu unataka niende insta nikapost vitu kama anavyopost mange alaf niko tanzania hi hii iyo sheria ya mitandao katungiwa mbwa au mbuzi eeee

Tatizo ni sheria kandamizi boss unadhani tungekuwa huru hii leo pangetosh kwa yaliyo tokea ila kila mtu kafyata mkia sema ukanyie bede

Alafu mimi sio muwoga boss nasema chochote kile ambacho naona kiko sawa
 
wee jamaa ;mtu unayejielewa role model wako anakuwa mange?
 
[emoji106] [emoji106]
 
Mbwia unga kawa hero kweli Tanzania hatuelewi tunataka nini?
 
hebu nikuulize imekuwaje tangu jana mange kafuta clip zote za makonda kafunga nahiyo account? kama ulijifanya kiherehere za kukoment mambo ya kijinga your gone myfriend! anza kabisa kuandaa watu wa kukudhamini.
 
Jamani ku deal na serikali sio kitu rahisi kumbuka serikali wana uwezo wa kukuzimisha hata huko ulipo
Yani huyo dada ni kama kajitoa kafala maana serikali yoyte ulimwenguni ikiamua kuku ua haishindwi
 
Jamani ku deal na serikali sio kitu rahisi kumbuka serikali wana uwezo wa kukuzimisha hata huko ulipo
Yani huyo dada ni kama kajitoa kafala maana serikali yoyte ulimwenguni ikiamua kuku ua haishindwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…