Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Dah... Mwanamke aliyechanganyikiwa? Alitegemea shavu kakosa.... Lazima adate.... [emoji87] [emoji87]
 
Kiukweli cmjui huyu Mange. Anaishi wapi? Na anapata wapi taarifa za yanayoendelea Tanzania? Huko aliko ana amkaa muda mmoja Na sisi? Nauliza tu lakini
Nenda instargram kamuulize hayo maswali uchukue na namba yake ya simu mpigie sawa
 
Mangi yupo vizuri kukaa Nje ya Nchi kunafanya wengine wajielewe zaidi wengine Ubongo unadumaa kutwa kuongelea vijisent vyake...Lipumba na Mwakyembe si bora ya Mangi mara milioni...
 
Kiukweli Mange yuko vizuri kibaya anachokifanya ni pale anapoanza kutukana tu ila ni jisiri mnoo yule mwanamke
Hata wanatoa sababu yakuwa nje ya nchi ndo kinampa ujasiri watanzania wangapi wanaishi huko alipo yeye nahawafanyi anayoyafanya Mange
 
Ni wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
Walalamike nini wakati dar kwa sasa kaifanya iwe vizuri wewe unatokea mkoa gani wa dar hatuwezi lalamika kwasababu hakuna kibaya zaidi alicho kitenda bwana kuhusu ufaulu wake ni siri yake maana matokeo ndo maana yanaandikwa Namba na sio majina serikali inalijua hilo
 
Hahahaha hata mwendawazimu akiamua kutembea uchi ataitwa hero! Hivi Mange Kimambi anawafundisha watoto wenu nini? Mitusi au ku blackmail? What does the new generation has to learn from her! Please my fellow Tanzanians let us be considerate on this issue! Mtoto kwanza jamani, duh! Afanalek walahi...it's sad and totally sad! Mwangalie mwanao asubuhi ya leo anajitayarisha kwenda shule alafu waza mitusi ya mange!
 
Bavicha mna shida sana, ukirudi mwaka 2015 huyu binti mlimtukana kila tusi kwa kutomkubali lowassa leo mnataka awe shujaa wa taifa, wonders shall never cease!!
 
Mara nyingi tuahukumu bila kujua ni nini tunachohukumu. Mtu akikosaa na Mbowe au Lissu wale wa upade ule umhukumu kwa sauti kuu na pindi akimkosoa Magufuli na ccm yake wa huku nao huhukumu kwa laana zote. Watanzania tuwe fair na zaidi tutumie matukio.
 
Mange bado ana picha ya kile alichokiona ktk mkanda ule wa video uliorekodiwa na wale majaa na kusanabisha mkanda ulete maafa ktk familia, binti kachanganyikiwa ever simce.
 
mtu mwenye akili timamu hawezi kumuita mange hero.. amtafutie jina lingine
Pamoja nakujifanya mnaandika mada kibao humu ndani JF ... huto kuja wala huna uwezo wakuandi mada itakayo vuta na kusisimua, tena yenye data za ushahidi kama Mange,

Mtaishia kubwabwaja na uzi vyenu vya kijiweni visivyo na mashiko ...
 
Back
Top Bottom