Amuombe radhi nani? Mange ni SHUJAATuombe radhi. Kweli watz tunaweza tukawa na hero mtukanaji kama huyo?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amuombe radhi nani? Mange ni SHUJAATuombe radhi. Kweli watz tunaweza tukawa na hero mtukanaji kama huyo?!
Kweli kabisa, na wengi ni washamba wa usukumaniWasiomkubali Mange wote wananufaishwa na mfumo uliopo
Mbwia unga kawa hero kweli Tanzania hatuelewi tunataka nini?
wee jamaa ;mtu unayejielewa role model wako anakuwa mange?
Mabashiite classic[emoji106] [emoji106]
mbona wao wanatumia lugha zisizo na staha, kuwambia watu tetemeko nyie, ukimwi nyie, katerelo nyie ni lugha ya staha hiyo kweli?sema mange anatatizo moja akikasirika anatumiaga lugha kali sana na zisizo na staha.....
ila akitulia kwenye hoja za msingi utampenda........
Umenena kweli hapo kwenye matusi ndo anapoharibusema mange anatatizo moja akikasirika anatumiaga lugha kali sana na zisizo na staha.....
ila akitulia kwenye hoja za msingi utampenda........
Wewee kulalamika unamaana ganiNi wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
Wanaume wa dar hivi mmelikubali hili??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
Hivi aliyewataja hadharani mapapa wauza unga sio shujaa na jasiri??? Hii ipo tz tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujasiri wa huyu Dada Hakuna mwanaume wa bongo aliyenao, bonge la jembe lisiloyumbishwa.
MANGE in mwanamke wa Shoka.Tuombe radhi. Kweli watz tunaweza tukawa na hero mtukanaji kama huyo?!
Usituingizie sisMange kavaa rangi gani kwani? Mange keshasema kahama CCM? Mange mnayemtaja mnajua kuwa hilo ni jina la group siyo mtu? Mange atabaki kuwa CCM na ni CCM na anaongea maneno anayopewa na wana CCM. Hawezi kumkubali mteuliwa wa ukawa na hamkubali mpaka kesho. ID kwenye mitandao isiwapotoshe. Tafakari.
Kumbe nawe bogus kabisa!Hao walizo nazo kwann wasizitoe wao lkn wanampa mange atoe hizo habari? Afu inaonekana hata ww hujiamin. Km una habar toa watu wasome