Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Raskazoni Tanga, mwaka 1988 au ni mwaka 1998? Mlikuwa mnatumia Satellite Dish?. Kwa mji kama Tanga kuwa na TV enzi hizo, basi familia yenu ilikuwa ni ya kiongozi mkubwa sana tena wa ngazi za juu sana, asiyepungua kwenye rank ya Uwaziri. Hata Dar es Salaam, japo sikuwepo, ni watu wachache sana waliokuwa na Satellite Dishes, na ninadhani labda walikuwepo Masaki na Mikocheni tu, na ciy centre, possibly.
Dr. Rginald Mengi (RIP) ameanzisha TV kwa mara ya kwanza hapa nchini mwaka 1994. Eneo nililokuwa naishi mimi maeneo ya Manzese Tip Top kulikuwa na nyumba mbili tu zenye TV. Sasa jaribu kuu-retrospect ukweli huu na hali ya Tanga, na si Dar es Saalam. Unaweza kuwa umekosea bali ni mwaka 1998, kama ni kweli!
Mkuu hivi unajua tv inamaanisa video pia tanga miaka ya 91/92 Kuna zile antena kibao za milingoti enzi hizo tanga ilikuwa tanga kweli enzi za kinamama nanyaro pale bombo chuo I can't unfold who my father was
 
Tanga ilikuwa super Sana zamani enzi hizo muda mfupi mzee anahama tanga tukawa tunarudi kuangalia miradi ya familia nikiwa dogo tunalala pale majestic hotel au mkonge hotel wiki daaah vya kale dhahabu
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Raskazone wapi??? Sikujua wezi wanaubavu wa kuiba eneo hilo ukizingatia wanaolindwa waliishi hapo.
 
Ila hii mitaa kwa sasa acha tu!! miaka ile Tanga ni Tanga ...ilikuwa si mchezo
Uko sahihi kabisa...
Tanga ndo nyumbani japo makazi kwasasa ni Idodomya...
Nilisoma Olevel 1984-87 pale Tanga Tech hakika Tanga ile ilikuwa Bab-K
 
jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
Umesoma HKL mkuu?

2020-1988=27?[emoji849][emoji849][emoji849]


Oh well!
 
No wonder

usinilaumu ni mambo ya shule tu haswa ukiwa huna akili za kukariri namba wala kiingereza. Ila nitajiendeleza na ukinichangia kwa elimu yangu utakuwa umefanya la maana sana miss 😊
 
Tv tu bado imekuletea kisasi au aliwafanyia udhalilishaji wa kingono wana kaya.
Maaan si kwa hasira za Tv tu na kuvunja mlango.
Afterall sasa una snart Tv.
Nenda muone nwambie unamkumbuka alipowaibia Tv ila mulimsamehe muachie wekundu 5.

Ataomba ombi la kukubariki
 
usinilaumu ni mambo ya shule tu haswa ukiwa huna akili za kukariri namba wala kiingereza. Ila nitajiendeleza na ukinichangia kwa elimu yangu utakuwa umefanya la maana sana miss [emoji4]
Ninamiliki various open university so worry out[emoji28]
 
Pole Sisi miaka ya 198x... maeneo ya Kilimaewa Manzese Midizini Dar es salaam, Binti alitutapeli Mikate ya SIA( national milling breads) minne(4) Breads!!!

Mimi After 4 Years nikamwona Sehemu, nikaita wazazi tukamkamata.....Alilipa zaidi ya mikate....pole na Hongera no mercy no fear Alipe
Mikate ya SIHA, laini ina harufu nzuri sana na mitamu balaaa, mpaka sasa sijaona mkate unapokaribia SIHA labda kidogo mikate ya Arusha.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ninamiliki various open university so worry out[emoji28]

nitasubiria hiyo nafasi boss lady na tukichat tafadhali usitumie sana kiingereza maana bado nao ni mtihani kama hesabu tu kwangu 😊
 
Watu wa chuga mibange Sana kwasauti ya mbasher
Akaambulia hiki [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
IMG_20200819_174153.jpg


Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Usilipe baya kwa baya cha msingi nenda kawajulie hali ikiwezekana mpeleke hospital kama anashindwa kumudu gharama na msaidie kumuuguza...

Ethics especially based on natural law theory inasisitiza kuwa tusihalalishe baya kwa baya ila pia kumbuka

"Do unto others as you would have them do unto you...."
Wewe unayaishi hayo??

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom