Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

matukio ya kuvamiwa hayasahauliki kirahisi mzee,! ni matukio mabaya sana na usiombe kabisa yakutokee
nilivamiwa miaka 10 iliyopita lakin Hadi leo ikifika saa nane usiku usingizi unakata , na sura za hao jamaa hazitakaa zipotee akilini mwangu hadi naingia kaburini

True!!

Trauma never ends easily!

Kiasi nikimuona Mzee TAL najiuliza how does he sleep at night? Nahisi ni kama nightmares haziwezi mwacha mpaka mwisho!!

Trauma kills you slowly but surely!
 
Yaani umeibiwa TV 1988 inakuuma mpaka leo 2020 ndio maana upo Chadema,that says it all.

Haki!! People like you sometimes make me question the creator’s choice of creation! (Asthaghafirullah!)

Ila Alhamdulilah siku ya kujitenga pumba na mchele wala haipo mbali!!
 
Maradhi ya figo ni adhabu tosha kwake we fikiria anatakiwa kusafisha figo kwa wiiki mara 3 au 4 kwa masaa 4 anakuwa yupo tu kwenye mashine
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Eti wazee ni dhahabu [emoji30]
Tukae Tukijua mateja na wahalifu nao wanazeeka [emoji16][emoji16]
 
Hakumdhuru baba ila jiwe fatuma lilivunja mlango likaharibu Sana Mimi nilikuwa mdogo na tv aliyoiiba ilituuma Sana. Mnaokaa mabibojeshini mnaweza kuliona hilo zee semakota ni nyingi.
Kwa hiyo mtoto wa jambazi ni mwanajeshi? Kama ni hivyo nakuonea huruma haki ya nani unajipeleka kwenye mdomo wa Simba! Mimi simo.
 
You are just a stupid teenager who has watched so many movies and thinks its real. Mtu mwenye akili asingeandika hayo ya chini. Angeishia tu kuwa amemwona n.k eti yu re powerful?powerful your ass.dumb boy.

Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
 
Hili povu lazma wajumbe wanahusika.
Habari za leo mkuu?
You are just a stupid teenager who has watched so many movies and thinks its real. Mtu mwenye akili asingeandika hayo ya chini. Angeishia tu kuwa amemwona n.k eti yu re powerful?powerful your ass.dumb boy.
 
ameshasema ni enzi hizo TV zinaingia Tz sass huwezi jua ni trauma kiasi gani alimsababishia. Imagine mtaa mzima wanakuja kwenu kuangalia Tv yaani unakuwa sweetheart wa mtaa halafu ghafla mtu anawatoa kwenye hiyo spotlight. Lazma ikuume [emoji16]

Yaan wewe [emoji23][emoji23]🤣🤣
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Hebu fafanua namna huyo 'jambazi' alivyopora hiyo tv...
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Duuh, miaka mingi sana hiyo, hadi umeshajua kuandika kiingereza fasaha!
Kama limevimba figo liache tu, labda limeisha tubu dhambi zake. Samehe 7*70!
 
Vipi kama sio mwenyewe?

Ni bora tu ukaachana nao kuliko ku-deal na huo ujinga uliopitwa na wakati. Nakupa mfano mmoja kuna siku nimekatiza maeneo ya Kibaha kwa Mathias nilikuwa naenda Moro kikazi kipindi hicho nilikuwa na cheo fulani kikubwa serikalini nilikuwa naendeshwa na Land Cruiser na tulisimama nikaenda kutuma hela kwenye kibanda cha Tigopesa. Sasa from nowhere wakaja wanajeshi watatu wakaniweka mtu kati (nilikuwa nimevaa casual tu) mmoja wao anadai jana yake nimekunywa kwenye glosari yake na kula kitimoto nikaondoka bila kulipa aisee ilikuwa zogo

Bahati nzuri dereva wangu akaja ndio akaanza kuwaeleza mimi ni nani na hatujui hata ilo eneo tuko tu safarini. Jamaa walivyoshtukia kuwa wamejichanganya walitoweka kwa mbinu za kijeshi. Tukaamua kusepa ingawa kuna jamaa alinipa namba ya mmoja wao nikapotezea

So jiridhishe kuwa ndio mwenyewe kabla hujatoa hizo tuhuma zilizopitwa na muda. Aibu utapata wewe
Umesema ulikuwa na cheo kikubwa serikalini...au?
 
Raskazoni Tanga, mwaka 1988 au ni mwaka 1998? Mlikuwa mnatumia Satellite Dish?. Kwa mji kama Tanga kuwa na TV enzi hizo, basi familia yenu ilikuwa ni ya kiongozi mkubwa sana tena wa ngazi za juu sana, asiyepungua kwenye rank ya Uwaziri. Hata Dar es Salaam, japo sikuwepo, ni watu wachache sana waliokuwa na Satellite Dishes, na ninadhani labda walikuwepo Masaki na Mikocheni tu, na ciy centre, possibly.
Dr. Rginald Mengi (RIP) ameanzisha TV kwa mara ya kwanza hapa nchini mwaka 1994. Eneo nililokuwa naishi mimi maeneo ya Manzese Tip Top kulikuwa na nyumba mbili tu zenye TV. Sasa jaribu kuu-retrospect ukweli huu na hali ya Tanga, na si Dar es Saalam. Unaweza kuwa umekosea bali ni mwaka 1998, kama ni kweli!


Tanzania watu Wana TV miaka na miaka..
Tvz ni ni kituo cha miaka mingi sana
Watu wa Dar walikuwa wanatazama tvz miaka mingi ...

ITV sio TV station ya kwanza Tanzania wala sio ya pili..

CTN ndo ya kwanza Tanzania bara around 1992
Mwaka wengi wa Dar tumemtazama
Rashid Yekini anachukua kombe la afrika na Nigeria kupitia CTN..1994 January

Baadae ikaja Dtv ..
Tumetazama premier liegue na Dtv
Enzi hizo Stan collymore ndo top striker Liverpool
ITV ilikuja 1994
 
1988 nakumbuka kuangalia michezo ya Olympic ya Korea kwenye kichupa.

Sasa mtu angekikwapua kichupa kile ningemlaani sana.

Msamehe tu uende zako. Hiyo adhabu aliyoipata inamtosha.

Adhabu aliyoipata toka kwa nani?
 
Back
Top Bottom