Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.


Kwa kauli yako hiyo Wewe hivi sasa ni mbaya zaidi kuliko huyo jambazi alivyokuwa 1988.

Tii sheria bila shuruti.
 
Hakumdhuru baba ila jiwe fatuma lilivunja mlango likaharibu Sana Mimi nilikuwa mdogo na tv aliyoiiba ilituuma Sana. Mnaokaa mabibojeshini mnaweza kuliona hilo zee semakota ni nyingi.
Malizia hasira zako kwa akina Fatuma... yaani ukikutana na mkwaju unaitwa Fatuma tu, unaruka nae na ikibidi mimba juu!!

Hiyo haitakufanya TV yenu muipate lakini itafanya maumivu yapungue!
 
Kwa nini swali liwe nani?

Inawezekana ni The Second Law of Thermodynamics coupled with Newton's third law of motion.
Ndio inawezekana..hiyo adhabu imetokea huko?

Ndio huyo huyo 'nani!'..sijui Newton..sijui..
 
Huu ni wakati wako wa kulipa kisasi , hukuonyeshwa hivi hivi tu , ulipewa nafasi ya wazi ili ulipize
 
Huijui Tanga.
 
nitasubiria hiyo nafasi boss lady na tukichat tafadhali usitumie sana kiingereza maana bado nao ni mtihani kama hesabu tu kwangu [emoji4]
[emoji28][emoji28]
 
True!!

Trauma never ends easily!

Kiasi nikimuona Mzee TAL najiuliza how does he sleep at night? Nahisi ni kama nightmares haziwezi mwacha mpaka mwisho!!

Trauma kills you slowly but surely!
mkuu hata mimi najiuliza trauma inamtafunaje TAL, ni kitu kigumu sana
Cha ajabu iko very accurate, nilivamiwa saa nane na dk 12 usiku , na kila siku toka siku hiyo naamka mida hiyo hiyo hata kama nililala late kiasi gani, hapo nitakaa macho hadi around saa Kumi alfajiri ndo usingizi utakuja tena , again saa Kumi ndio muda nilipata usingizi nikiwa hosptitali na majeraha yangu siku ya tukio.
 
Mkuu hivi unajua tv inamaanisa video pia tanga miaka ya 91/92 Kuna zile antena kibao za milingoti enzi hizo tanga ilikuwa tanga kweli enzi za kinamama nanyaro pale bombo chuo I can't unfold who my father was
Kama unamaanisha video, naweza kukubali. Unajua kipindi hicho kulikuwa na mkanganyiko wa uelewa wa watu. Walikuwa hawawezi kutofautisha TV na Video. Ni kama kipindi zilipoanza kuingia Kompyuta, watu walikuwa hawawezi kutofautisha Monitor na CPU ambayo ndiyo Kompyuta yenyewe. Kuna mtu mahali fiulani aliwahi kuiba monitor akaenda kuuza yeye akiwa anajua kuwa ndiyo computer yenyewe
 
Coastal Television Network (CTN) na Dar es Salaam Televisheni (DTV) nazijua pia
 
Mimi nasubiri hili jambazi lililotuibia trillion 1.5 likizeeka naenda kubaka wajukuu zake na wanae, litakuwa halina nguvu tena
 
Nenda bro.... Wadwanzi kama hao unawatemea cheche wajue namna walikufanyia ukware.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…