matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Dah sasa wewe umeharibu (Pole sana mkuu)Nilitamani baba angu awe tajiri.nilikuwa nakasirishwa sana na umasikini wake na kumuonea huruma.
Hapana.ni jambo la kijinga maana nilivyotamani isingeweza kutokea.nilitamani maisha ya watoto wa majirani ambao wazazi wao walikuwa na uwezoDah sasa wewe umeharibu (Pole sana mkuu)
Dah Pole sana kwa mara nyingine tena.Hapana.ni jambo la kijinga maana nilivyotamani isingeweza kutokea.nilitamani maisha ya watoto wa majirani ambao wazazi wao walikuwa na uwezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa natamani Fundi aanguke kutoka kwenye paa la nyumba nicheke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
nilikuwa napenda ndege zianguke
nilikuwa napenda watu wapigane
nilikuwa napenda Vita itokee tz
nilikuwa napenda kuona ngumi za wqzazi
nilikuwa napenda kuchungulia na niuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nile bila kunya
Same samenilikuwa nikiona ndege(aeroplanes) zinapita natamani siku moja idondoke jirani na homu ili niione kwa karibu na niokote vitu.
watoto wa kitaa, ujinga unawazwa tangu hatujui mema na mabaya.
Hili la ndege tulikuwa pamoja. Yaani nilikuwa nawaza ktk ndege kutakuwa na mtu mwenye brief case yenye pesa na hiyo ndo ilikuwa target yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
nilikuwa napenda ndege zianguke
nilikuwa napenda watu wapigane
nilikuwa napenda Vita itokee tz
nilikuwa napenda kuona ngumi za wqzazi
nilikuwa napenda kuchungulia na niuuu
😀😀Nilikuwa natamani Fundi aanguke kutoka kwenye paa la nyumba nicheke.