matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
nilikuwa nikiona ndege(aeroplanes) zinapita natamani siku moja idondoke jirani na homu ili niione kwa karibu na niokote vitu.
watoto wa kitaa, ujinga unawazwa tangu hatujui mema na mabaya.
watoto wa kitaa, ujinga unawazwa tangu hatujui mema na mabaya.