Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Nlitoroka half time kwenda kuwinda ndege na rafiki yangu, kurudi siku ya pili mwalimu akatuchapa mbele ya hadhara, muda wa assembly shule... Nikamlia mingo, muda wa kutoka school nikamchapa ya kichwa, akatuma wanafunzi wanikamate, wanafunzi kama watano na wao walichezea za vichwa, ila walifanikiwa kunitia nguvuni... Nikachezea tena stiki za kutosha tu, halafu wakanipeleka home... Mshua nlivofika nae akanipa za kutosha pia....... Ila god bless my father, bila yeye nisingesoma mpaka chuo kikuu, pengine ningekuaga hata jasusi[emoji122]Kwani ticha ulimpiga makusudi?
Hahaahahah ulikiwa balaaNlitoroka half time kwenda kuwinda ndege na rafiki yangu, kurudi siku ya pili mwalimu akatuchapa mbele ya hadhara, muda wa assembly shule... Nikamlia mingo, muda wa kutoka school nikamchapa ya kichwa, akatuma wanafunzi wanikamate, wanafunzi kama watano na wao walichezea za vichwa, ila walifanikiwa kunitia nguvuni... Nikachezea tena stiki za kutosha tu, halafu wakanipeleka home... Mshua nlivofika nae akanipa za kutosha pia....... Ila god bless my father, bila yeye nisingesoma mpaka chuo kikuu, pengine ningekuaga hata jasusi[emoji122]
Shule zote ziteketee
HahahaHaha ili usiende shule?
Hahahaha mkuu mtoto mwenye muhogo alikuwa superstar zaidi ya Messi kwenye benchi la majeruhi barca.Mm mpka leo sijui nilikua wapi wakati wenzangu wanakua watundu mpka wanavunja mikono au miguu yao nilikua nataman sana nivae muhogo hio ingeweka rekodi tu ..
Hahaha kiongozi mkubwa afe tuomboleze kwa kukatisha masomoShule zote ziteketee
Nadhani hii tabia utakua umeacha baada ya kukua sasa hivi, ulikua mchochezi duhWrite your reply...nilikua napenda watu wapigane...na wakiwa wanapigana nilikua nafurahia
Nadhani hii tabia utakua umeacha baada ya kukua sasa hivi, ulikua mchochezi duh
hahahaha..nimeiacha
Kweli mkuu. Mtu akikwambia unamambo ya kitoto ni haya.[emoji23]naunga mkono hoja mkuu nilikuwaga nawaza idondoke niokote vitu.
mara unatamani kuota magaga kama mtu fulani
mara unatamani kwenu kungekua kwa akina fulani
ndo mana naamini mtu akiwa na mawazo hayo bado hajakua
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nilikuwa natamani Fundi aanguke kutoka kwenye paa la nyumba nicheke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nile bila kunya
kabisaKweli mkuu. Mtu akikwambia unamambo ya kitoto ni haya.
Yap, Kuna mwalimu alikua akifika shule wa kwanza Kabla hujafika basi umechelewa hata kama mida ya late comers kufika.Haha ili usiende shule?
Hapana.ni jambo la kijinga maana nilivyotamani isingeweza kutokea.nilitamani maisha ya watoto wa majirani ambao wazazi wao walikuwa na uwezo