Wengi wanamkumbuka kwa kuchukia washindani wake.
Ama iwe ndani ya Chama au wa nje ya Chama. Hapendi kabisa kushindana.
Huyu ana mbinu ya KiMasai ukimshinda ni bifu kubwa mno hivyo hata fimbo anakulamba nayo ukikaa kizembe zembe.
Kwa sasa mjadala ni mkubwa Jimboni kwake.
Wanatamani kama vile aondoke tu ale hela za USpika na then ubunge wapate mtu mwingine.
Ndugai hana mpya tena - hana lolote la kukumbukwa nalo Zaidi ya yale mabaya ikiwemo kuchukia upinzani na kuongoza bungeni vibaya kuliko MaSPika wote!
NB - current update!
Leo Tarehe 01 Aprili, 2022 jioni itatangazwa Hospitali aliyolazwa Ndugai pale katika Mkutano wa CCM ukumbi wa Jakaya Kikwete huko Dodoma.
Ama iwe ndani ya Chama au wa nje ya Chama. Hapendi kabisa kushindana.
Huyu ana mbinu ya KiMasai ukimshinda ni bifu kubwa mno hivyo hata fimbo anakulamba nayo ukikaa kizembe zembe.
Kwa sasa mjadala ni mkubwa Jimboni kwake.
Wanatamani kama vile aondoke tu ale hela za USpika na then ubunge wapate mtu mwingine.
Ndugai hana mpya tena - hana lolote la kukumbukwa nalo Zaidi ya yale mabaya ikiwemo kuchukia upinzani na kuongoza bungeni vibaya kuliko MaSPika wote!
NB - current update!
Leo Tarehe 01 Aprili, 2022 jioni itatangazwa Hospitali aliyolazwa Ndugai pale katika Mkutano wa CCM ukumbi wa Jakaya Kikwete huko Dodoma.