Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Kweli huyu anahara kishenzi yani!Leo wamekutoa akili zote. unahara kama bata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli huyu anahara kishenzi yani!Leo wamekutoa akili zote. unahara kama bata
Kweli huyu anahara kishenzi yani!Leo wamekutoa akili zote. unahara kama bata
Mbona huko wanakomheshimu huyo Assad hamuiti wakampe kazi??Aisee, umenikumbusha tn, yaani Andunje na stone wanamdhalilisha pro Asad, anaeheshimika duniani!
Atakuwa na stroke mjinga sn yuleUmenichekesha aisee, eti bado yuko hai. Umesema ya moyoni kbs. Alisema Tundu Lissu anazurura Ulaya wakati alikuwa anajua yuko hospitali anapigwa operesheni za kufa mtu. Shenzi yake. Apotee kbs.
Kaya ya Mzee mazengo,karibu na Hospital ya wilaya ya Kongwa.Hapa ni kaya ya nani huko Kongwa?
stone aliwaharibu wengi, na huyu ni mmoja wao - akaja na ka phylosophy ka stone akataka kukachomekea kwa maza...weeeeee maza akamdondokea kama mwewe - kitu kizito kichwani - chaliiiiialimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
Akampiga mshindani wake na mpini wa jembealimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
Huu uchawi sasa! Anavurugaah Tu utaratibuNdugai alikuwa akizuia maendeleo makusudi akiamini Kongwa ikijanjaruka atakosa ubunge. Alimpiga ajali DED Izengo Ngusa baada ya kutaka kuleta maendeleo.
Kuna jamaa alijenga lodge kali sana pale. Ikaonekana hajapata idhini kwa Ndugai. Ndugai akahujumu kwa kujenga msikiti mbele ya lodge. Pale pakawa hapalaliki 🤣🤣🤣
Ndugai alikuwa mtu hatari snalimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
Bunge, serikali wote lengo lao ni moja tu kupeleka maendeleo kwa wananchi, bahati mbaya kwa sasa lengo ni kupeleka kwenye familia zaoKunahaja ya Watanzania kuelimishwa tena kuhusu majukumu ya Bunge, Mahakama na Serekali. Kwa sababu nachokiona wengi wanawatwisha wabunge majukumu ya Serekali.
Hivi kumbe zamani Ndugai alikuwa na nywele?
Weka na nyumba za tembeHapa ni kaya ya nani huko Kongwa?
Ulifikiri kafa kama babaako alivyokufa kibudu?Hivi bado yupo hai?
Nakusamehe dada angu sababu ni mjamzitoUlifikiri kafa kama babaako alivyokufa kibudu?
ILA KIKUBWA ALICHOFANYA JIMBONI NI KUMPIGA MWENZIE NA GONGO MPAKA AKAZIMA.Umenichekesha aisee, eti bado yuko hai. Umesema ya moyoni kbs. Alisema Tundu Lissu anazurura Ulaya wakati alikuwa anajua yuko hospitali anapigwa operesheni za kufa mtu. Shenzi yake. Apotee kbs.
Najifungua wiki hii. Mtume mkeo basi aje kwangu angalau wiki moja! Ahahahahahahahaha!Nakusamehe dada angu sababu ni mjamzito
Atakuja dada angu usijaliNajifungua wiki hii. Mtume mkeo basi aje kwangu angalau wiki moja! Ahahahahahahahaha!
Safi sana. Usisahau kunikumbusha nimtumie nauli na ya kutolea! Ahahahahahahah!Atakuja dada angu usijali