Jambo kubwa alilofanya Ndugai Jimboni mwake ni lipi?

Yaani adhabu anayopata Ndugai inastahili Kabisa!
Mungu hamfichi mnafiki!
Ukitetea maovu ,kumbuka na wewe Inaishia!
Mla nyama za watu usimshangilie ,ukizingua kichwa kichwa anakukula' na wewe mwenzake?
 
alimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
stone aliwaharibu wengi, na huyu ni mmoja wao - akaja na ka phylosophy ka stone akataka kukachomekea kwa maza...weeeeee maza akamdondokea kama mwewe - kitu kizito kichwani - chaliiiii
 
alimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
Akampiga mshindani wake na mpini wa jembe
 
Huu uchawi sasa! Anavurugaah Tu utaratibu
 
alimnyima Lissu hela yake , alikua mstari wa mbele kuua upinzani, alikua anapokea maelekezzo ya stone, alikua anauwezo wa kufanya lolote, alimnyanyasa Asaad , alijiona Mungu mtu etc, etc , etc hayo aliyaweza sana pale Kongwa aka usupika
Ndugai alikuwa mtu hatari sn
 
Kunahaja ya Watanzania kuelimishwa tena kuhusu majukumu ya Bunge, Mahakama na Serekali. Kwa sababu nachokiona wengi wanawatwisha wabunge majukumu ya Serekali.
Bunge, serikali wote lengo lao ni moja tu kupeleka maendeleo kwa wananchi, bahati mbaya kwa sasa lengo ni kupeleka kwenye familia zao
 
Umenichekesha aisee, eti bado yuko hai. Umesema ya moyoni kbs. Alisema Tundu Lissu anazurura Ulaya wakati alikuwa anajua yuko hospitali anapigwa operesheni za kufa mtu. Shenzi yake. Apotee kbs.
ILA KIKUBWA ALICHOFANYA JIMBONI NI KUMPIGA MWENZIE NA GONGO MPAKA AKAZIMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…