Jambo kubwa alilofanya Ndugai Jimboni mwake ni lipi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana alichofanya
 
Jimboni kwake Ndugai atakumbukwa kwa kumcharaza bakora mwana CCM mwenzake halafu akampoza kwa tujihela hela kidogo ili mwana CCM yule mpenda mserereko asiende kuripoti police.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…