Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

God have mercy on us
 
Tuondolee huu uchafu moderator. Utabiri gani wakati ni utapeli mtupu. Kwanza, taja ni jambo gani. Pili, kivipi. Na tatu, lini. Huyu ni tapeli wa kawaida anayejifunza utapeli ukiachia mbali kukosa hata unjanja wa kufanya huu utapeli wake.
 
Tuondolee huu uchafu moderator. Utabiri gani wakati ni utapeli mtupu. Kwanza, taja ni jambo gani. Pili, kivipi. Na tatu, lini. Huyu ni tapeli wa kawaida anayejifunza utapeli ukiachia mbali kukosa hata unjanja wa kufanya huu utapeli wake.
Tapeli anaunda umaarufu ajipatie wateja ili awanange !
 
Yaani uliota jinsi wagombea uraisi watakavyo teuliwa
 
Tuondolee huu uchafu moderator. Utabiri gani wakati ni utapeli mtupu. Kwanza, taja ni jambo gani. Pili, kivipi. Na tatu, lini. Huyu ni tapeli wa kawaida anayejifunza utapeli ukiachia mbali kukosa hata unjanja wa kufanya huu utapeli wake
Siwezi kukulaumu ila itakuwa vyema ukajutia maneno yako siku moja usicheze na Mungu wa Taifa la Tanzania 🇹🇿 ♥️ Nakwambia usicheze na maneno na machoz ya wa Tz yaogope sana sana nakwambia.
 
"Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End"
 
Utabiri wenyewe wa hawa manabii uchwara, mitume uchwara, ambao wao wenyewe wanatakiwa waombewe ili waache utapeli na ghilba ila kukusa elimu kitu kibaya sana yaani unauziwa maji na udongo unanunua na unaamini utapona .
 
Open your eyes
 
Damu ya Ben Saaa Nane inamtesa sana Magufuli anatamani kutubu ila muda umeendoa. Hata huyu mama damu ya vijana waliotekwa itamuandama sana muda huu hawezi kulala chamwino siku mbili mfululizo anachapwa bakora balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…