Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Litokee tu tupo tayari kulipokea hilo jambo maana maisha ya mtanzania hayajawai kuwa bora
Huyu mama kila mahala TOZO halafu hela wanazokusanya hatuoni maendeleo yoyote ; isipokuwa genge lake kununua ma V8 yanayokunywa mafuta na kuwafilisi wanannchi!
Seirkali ya Samia imefilisika kiasi cha kutumia fedha za MIRATHI za marehemu!! Ni muda wa karibu miezi sita sasa BOT hawajatoa cheki za mirathi ya watu kwa kisingizio kuwa Serikali imezitumia!! Shame, hii haijawahi kutokea.
 
Mama hana baya, hajawahi kuua mtu, ni makosa tu yakibinadamu...kwaiyo ni ngumu sana kwa hayo maombi yako kumpata!

Anaua watu kwa kulea ufisadi katika Serikali yake!! Ufisadi ndio unamfanya awatoze kodi masikini katika kila nyanja ya maisha yao!! Wananchi wanateseka sana kwani maisha ni magumu lakini wao hawayaoni kwavile wana fungue za kihenge chetu!
 
Moja ya sifa kubwa wa usability wa uwongo ni kutotaja muda maalum na kusema kwa mafumbo ili likitokea lolote aseme ni hili
 
Kuna maswali huwa najiuliza, ile mikopo ya kila siku inakwenda wapi? Maana shughuli za maendeleo anakamuliwa mnyonge kupitia tozo.

Tozo nazo zinakwenda wapi? Maana shughuli kubwa za maendeleo sizioni.

Pesa za misaada zinakwenda wapi? Mfano za Covid tuliambiwa zinajenga madarasa, cha ajabu ni kadarasa kamoja kamoja halafu pesa inatolewa flat rate

Yaani kama darasa moja kila shule itatolewa 20M nchi nzima bila kujali hii shule iko Dar na ile iko Nanjilinji. Upatikanaji wa malighafi unatofautiana.

Niliongea na mwalimu mkuu mmoja jinsi alivyofanikisha madarasa kujengwa mpaka nikamuonea huruma maana asipofanikisha kibarua kiko rehani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Let us pray
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Wengi wanajua na wengi wanaomba
Hii nchi Ina watu wanaiombea mno tena wanaishi low profile life.

Bila hivyo kusingekuwa hivi
 

1734097624197.png
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
CCM ndio tatizo kubwa nchi hii.
 
Back
Top Bottom