Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.