OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kile kilikuwa kifo cha adhabu na aibuWew ni mjinga Sana kwani kufa ni adhabu? Wew hutakufa? kwenu wanaokufa wanamakosa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kile kilikuwa kifo cha adhabu na aibuWew ni mjinga Sana kwani kufa ni adhabu? Wew hutakufa? kwenu wanaokufa wanamakosa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Swala la Machinga litamwondoa SSH.
Pambaneni na mlevi wa konyagi kwanza.Kwa Tume hii na Katiba hii sahau.
Ujinga huu tunaupata kwa namba ipi?Swala la Machinga litamwondoa SSH.
MACHINGA KWA SASA NI BOMU LA NYUKLIAKama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.
Unafikiria jambo hilo lilianza na kina Ben Saanane kweli?Swala la watu wasiojulikana.
Ilianza kwa akina Ben Saa Nane, akaja Lissu wakafata akina Azory.
Mpaka na sasa hatujui mabaki ya mifupa yao ipo wapi.
Lakini, iwe duniani au akhera, waliowatenda watawajibika.
Hii yako itachukua namba moja. Hongera sana kwa kutoa mfano sahihi kabisa.Nakumbuka zilianza tetesi Kama utani ohh JPM haonekani ooh Mara ikawa kweli aseee RIP
Linakuwa bomu kwa sababu tu ya kutojua namna ya kushughulika nalo.MACHINGA KWA SASA NI BOMU LA NYUKLIA
Hakika hii inaweza kuishia kwenye kuzaa jambo kubwa litakalobadilisha kabisa hatma ya Tanzania.Tuliharibu shamba lake,aliyetatibu akapandishwa cheo DC hadi RC kazi nzuri.
Tukaharibu Hotel yake na biashara zake kumdhoufisha kiuchumi na kisiasa.
Tukamfunga kwa kusabanisha kifo cha Asquiline aliyempiga risasi hana kosa wala hatia.
Tukanunua wabunge,madiwani na viongozi wote tumbakishe mpweke.
Tukawaingiza bungeni wabunge 19 bila ridhaa wala baraka za chama.
Tukahakikisha hana mwakilishi mjengoni
Yote hayo hayatoshi!.
Tukamtengenezea kesi ya ugaidi,tunataka kumpoteza kabisa asiwepo,asisikike wala asionekane hatutaki kusikia mambo ya katiba mpya tunataka tutawale tutakavyo.
Mipango yetu yote ipo chini ya kamanda shupavu na Shujaa kweli kweli ACP Kingai,Mahita na Luteni Urio si hao tuna vizibiti vya hali ya juu eg Shangazi kaja na Jaji wa kimkakati.
Alifurahi kuchukua fomu moja peke yake na kuzimu akaondoka peke yakeYule aliyebwagiwa mchakato wa kugombea urais... Akafurahia kususiwa... Akafurahia kutangazwa mshindi... Yaliyomkuta kwa sasa anawasimulia malaika.
Kufa ni wajibu. Siyo ufe kizembe zembe!Wew ni mjinga Sana kwani kufa ni adhabu? Wew hutakufa? kwenu wanaokufa wanamakosa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kauli tu ikazaa mishale 30+Magufuli alitoa kauli mchana jioni lissu kapigwa risasi 34
Sio kufa kilofa kama yeye. Wajanja Akina Lissu bado wanadunda🤣🤣🤣Wew ni mjinga Sana kwani kufa ni adhabu? Wew hutakufa? kwenu wanaokufa wanamakosa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kitendo cha kutaka kumuua mtu halafu ukafa wewe ni ulofa sana.Kufa ni wajibu. Siyo ufe kizembe zembe!
Alijimwambafy... Akadharau wengine... Akatesa... Akadhuru... Akaua... Akatamani kutawala milele... Akasahau kuwa ana kibetry cha mzungu! Kasahaulika mapema sana yaani!Kitendo cha kutaka kumuua mtu halafu ukafa wewe ni ulofa sana.
Kumbe tutende wema ili tuishi maisha marefuSwala la Machinga litamwondoa SSH.
Alifurahi kuchukua fomu moja peke yake na kuzimu akaondoka peke yake