Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.
taja JPM utamlixa MMNakumbuka zilianza tetesi Kama utani ohh JPM haonekani ooh Mara ikawa kweli aseee RIP
Upo upande upi now baada ya jamaa yako kuondoka? Umerudi tena CDM? Watakupokea?
[/QUOTEat
Aiseeeee una kumbukumbu nzuri sanaCOVID 19 Denier-in-Chief:
Kashapiga bapa huyo Mzee MwanakijijiMzee mbona unaandika nyuzi kipande.?
Embu fafanua...jambo lipi limezua jambo...Kesi ya Ugaidi.
Unamaanisha kama ninavyo fikiria au niongezee ufikirioKama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.
Embu fafanua...jambo lipi limezua jambo...
Magufuli alitoa kauli mchana jioni lissu kapigwa risasi 34Kama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.
Wew ni mjinga Sana kwani kufa ni adhabu? Wew hutakufa? kwenu wanaokufa wanamakosa?Yule aliyebwagiwa mchakato wa kugombea urais... Akafurahia kususiwa... Akafurahia kutangazwa mshindi... Yaliyomkuta kwa sasa anawasimulia malaika.
Covid-19Kama wewe umekuwa mfuatiliaji mzuri wa siasa zetu unaweza kukumbuka jambo moja ambalo lilianzia padogo lakini mwisho likaishia kuwa jambo kubwa kwelikweli....Sakata la Dowans ni mfano mmoja liliishia kuondokana waziri mkuu...
Jambo gqni liliwahi kuanzia padogo likaja na makubwa...nitarudi.