Jambo Limezua Jambo: Mifano Hai katika Siasa zetu...

MACHINGA KWA SASA NI BOMU LA NYUKLIA
 
Swala la watu wasiojulikana.

Ilianza kwa akina Ben Saa Nane, akaja Lissu wakafata akina Azory.

Mpaka na sasa hatujui mabaki ya mifupa yao ipo wapi.

Lakini, iwe duniani au akhera, waliowatenda watawajibika.
Unafikiria jambo hilo lilianza na kina Ben Saanane kweli?
 
MACHINGA KWA SASA NI BOMU LA NYUKLIA
Linakuwa bomu kwa sababu tu ya kutojua namna ya kushughulika nalo.

Badala ya kuwa "BOMU LA NUKLIA", Machinga wanaweza kuwa NEEMA kubwa sana kwa kiongozi mwenye maono mahsusi anayeweza kutumia hali ya hao jamaa na kuigeuza kuwa neema kubwa kwa nchi yetu.

Maana ya uongozi ni kuwa na uwezo wa kubadili hali hafifu kama hiyo na kuifanya kuwa ya kuvutia. Kiongozi wa aina hiyo ndio huacha alama katika uongozi wao. Anakuwa kiongozi wa kukumbukwa.
 
Hakika hii inaweza kuishia kwenye kuzaa jambo kubwa litakalobadilisha kabisa hatma ya Tanzania.

Lakini vuta subira kidogo, maana mada kaiweka kwa yaliyokwishatokea.

Au hata yanayotegemewa kutokea, kama anguko la CCM?
 
Yule aliyebwagiwa mchakato wa kugombea urais... Akafurahia kususiwa... Akafurahia kutangazwa mshindi... Yaliyomkuta kwa sasa anawasimulia malaika.
Alifurahi kuchukua fomu moja peke yake na kuzimu akaondoka peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…