Jambo Limezua Jambo: Mifano Hai katika Siasa zetu...

CCM kuumana umana. mipasuko hadharani halafu wanasingizia"kutoka juu" au " hii ni awamu nyingine" kana kwamba Ilani(changa:la macho)yao yamebadilika.
Wananchi sio wajinga leo, hayo mambo yatazua kinyan'ganyiro ambacho hakijawahi kutokea, tunajua Zambia kilichotokea
wacha waendelee kuhadaa umma kwamba RaisiMagufuli alikuwa ndio mchawi.
Kura itapigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…