Jambo limezua Jambo.

Jambo limezua Jambo.

Huyu Mzazi mwenzie ni mwehu...

Kwanza, kashasema kwamba huko Zambia amepata kazi itakayolipa hela nyingi, which means hatakuwa na shida ya hela.... kwa maana nyingine ni kwamba ataweza kumtunza mtoto wake bila matatizo...

Mi naona huyo mama hasemi ukweli... Sawa mume wake amefariki, lakini kwa sheria za sasa hakuna ndugu ambaye yuko entitled kukunyang'anya mali za mume wako. Kama hana nguvu za kufatilia mali za mume wake, nguvu za kurafuta kazi Zambia amezitoa wapi??..Aggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.... Some women bwana....:mad2::mad2::mad2:

Tumsifu Yesu Kristu........
 
Mkuu there is nothing like that kwa familia zetu za kiafrika...nadhani hata za kizungu ni ngumu ndo maana kuna sperm bank...sasa wewe upo physically halafu unamwongelea mtoto wako kama vile ni wa mtu mwingine bana?

hebu mchukue mpatie matibabu sahihi atapona tu uwezo si unao? kama ni mtoto tu na mama yake anachapa lapa, sidhani kama kuna tatizo, mtunze huwezi kujua atakuja kukufaa nini huko mbele!

amtunzeje na mkewe kagoma? jamani muwe mnatufikiria na sie wake zenu tunayachukuliaje haya, hawa watu wanatakiwa wapange mipango ya kulea mtoto wao wenyewe jinc walivyopanga kuwekeana mbegu? akimlazimisha mkewe bila ridhaa yake ujuwe huyo mtoto atapata manyanyaso yote anayosemwa kwa mama wa kambo....wewe mtoa thread na mama watoto wako mpange mjue mtoto mumpeleke wapi kama mkewe hataki kulea, mcmbebeshe mzigo wa dhambi za mumewe.
 
yaani hii story mtoa mada sijui yuko wapi napenda anijibu swali langu. Wakati alipokuwa anachangia hizo mbegu alikuwa na akili timamu?
 
Mimi nadhani hii story ni fiction na ndiyo maana Uporoto anakataa kila ushauri ambao amepewa na wadau.

1. Unawezaje kufanya hicho kitu tena kwa Ex GF wako na wakati umeoa? Dhambi ya kutembea nje na dhambi ya kula matapishi yako at the same time? Ubongo wangu mdogo umegoma kukubaliana na hilo.
2. Huyo mke wa Uporoto ni malaika anayeishi duniani. Kwanza aliweza kutumia muda wake kumsikiliza mumewe (aliyecheza mchezo wa kipuuzi kiasi hicho) na pia akakubali kumsaidia huyo mtoto kwa vile ni malaika. Sasa wanataka (Uporoto na huyo ex GF) kumpatia adhabu nyingine kwa huo wema wake? No no .....please:nono::nono::nono::nono:

Msimamo wangu: Mtoto huyo lazima alelewe na mama yake (labda kama amekufa) na Uporoto alipe gharama za kumtunza mtoto kwa kulipia huo ujinga wake wa kugawa gawa hovyo mbegu za uumbaji:mad2::mad2::mad2:
 
amtunzeje na mkewe kagoma? jamani muwe mnatufikiria na sie wake zenu tunayachukuliaje haya, hawa watu wanatakiwa wapange mipango ya kulea mtoto wao wenyewe jinc walivyopanga kuwekeana mbegu? akimlazimisha mkewe bila ridhaa yake ujuwe huyo mtoto atapata manyanyaso yote anayosemwa kwa mama wa kambo....wewe mtoa thread na mama watoto wako mpange mjue mtoto mumpeleke wapi kama mkewe hataki kulea, mcmbebeshe mzigo wa dhambi za mumewe.

Jamani Mrs sasa ndo yameshatokea, huyo Mkewe inaonekana ana huruma kabisa si ameseam angemtafutia hata kazi? damu ni nzito kuliko maji it doesnt matter kama atanyanyaswa au vipi muhimu ni kwamba huyo mtoto apate malezi ya walau baba yake, walau apate matuzno na kutibiwa.....huyo mkewe akimnyanyasa kisha baadaye akaja kuwa 'mtu wa maana' ataweka wapi uso wake?

So la msingi bado ambembeleze mkewe....amlee kama mtoto yatima tu....kisha atapata BARAKA za Mwenyezi Mungu kwa kufanya hivyo...
 
Jamani Mrs sasa ndo yameshatokea, huyo Mkewe inaonekana ana huruma kabisa si ameseam angemtafutia hata kazi? damu ni nzito kuliko maji it doesnt matter kama atanyanyaswa au vipi muhimu ni kwamba huyo mtoto apate malezi ya walau baba yake, walau apate matuzno na kutibiwa.....huyo mkewe akimnyanyasa kisha baadaye akaja kuwa 'mtu wa maana' ataweka wapi uso wake?

So la msingi bado ambembeleze mkewe....amlee kama mtoto yatima tu....kisha atapata BARAKA za Mwenyezi Mungu kwa kufanya hivyo...

Mkuu uko tayari kuwekeza dola kiasi gani katika biashara kama hiyo? Kama inalipa basi jaribu kuangalia angalia huko mitaani. Wapo watoto kibao wanaoweza wengine kuja kuwa akina Asha Rose!!:A S 8:
 
Mkuu uko tayari kuwekeza dola kiasi gani katika biashara kama hiyo? Kama inalipa basi jaribu kuangalia angalia huko mitaani. Wapo watoto kibao wanaoweza wengine kuja kuwa akina Asha Rose!!:A S 8:

Mkuu nimekusoma unachomaanisha apo, lakini pia tumfikiria huyo mtoto.....kumlazimisha alelewe na mama yake wakati ameshaonyesha kuwa HAMTAKI, ni kumpa guarantee kwamba anaweza hata kumtupa huko njiani akienda Zambia,

Tujali maslahi ya kiumbe asiye na kosa hapo.... and you are right, kwa uzoefu ni kwamba watoto wa namna hii, wanakuja kuwa watu 'wa maana' sana....sasa sio vizuri kuwachukulia kama 'watoto baki' kiasi hicho.
 
Mimi nadhani hii story ni fiction na ndiyo maana Uporoto anakataa kila ushauri ambao amepewa na wadau.

1. Unawezaje kufanya hicho kitu tena kwa Ex GF wako na wakati umeoa? Dhambi ya kutembea nje na dhambi ya kula matapishi yako at the same time? Ubongo wangu mdogo umegoma kukubaliana na hilo.
2. Huyo mke wa Uporoto ni malaika anayeishi duniani. Kwanza aliweza kutumia muda wake kumsikiliza mumewe (aliyecheza mchezo wa kipuuzi kiasi hicho) na pia akakubali kumsaidia huyo mtoto kwa vile ni malaika. Sasa wanataka (Uporoto na huyo ex GF) kumpatia adhabu nyingine kwa huo wema wake? No no .....please:nono::nono::nono::nono:

Msimamo wangu: Mtoto huyo lazima alelewe na mama yake (labda kama amekufa) na Uporoto alipe gharama za kumtunza mtoto kwa kulipia huo ujinga wake wa kugawa gawa hovyo mbegu za uumbaji:mad2::mad2::mad2:



upo na mie, huyo nadhani ni zaidi ya malaika, yote hayo bado ana moyo wa kumtafutia kazi ili asiende huko zambia lakini mama mtoto hakubalianai na hilo, mke wa mporoto ni wa kipekee!
 
Mkuu nimekusoma unachomaanisha apo, lakini pia tumfikiria huyo mtoto.....kumlazimisha alelewe na mama yake wakati ameshaonyesha kuwa HAMTAKI, ni kumpa guarantee kwamba anaweza hata kumtupa huko njiani akienda Zambia,

Tujali maslahi ya kiumbe asiye na kosa hapo.... and you are right, kwa uzoefu ni kwamba watoto wa namna hii, wanakuja kuwa watu 'wa maana' sana....sasa sio vizuri kuwachukulia kama 'watoto baki' kiasi hicho.


mtu akiamua kutupa uzao wake adhabu ni yake, sasa anataka nani amlelee wakati alibeba mimba/zaa mwenyewe, kwani walimshirikisha mke wakati wakikubaliana hayo?....kila mtu anaelewa mtoto hana kosa, mtoito huyo huyo ana amam yake mzazi na baba yake mzazi, kwanini hao wackubaliane juu ya kumlea mwanao walieshirikiana kumleta dunianai mpaka mje mumpe stress huyu mke alietulia ndani kwake?...kila mtu atauchua mzigo wake mwenyewe.......
 
Mkuu nimekusoma unachomaanisha apo, lakini pia tumfikiria huyo mtoto.....kumlazimisha alelewe na mama yake wakati ameshaonyesha kuwa HAMTAKI, ni kumpa guarantee kwamba anaweza hata kumtupa huko njiani akienda Zambia,

Tujali maslahi ya kiumbe asiye na kosa hapo.... and you are right, kwa uzoefu ni kwamba watoto wa namna hii, wanakuja kuwa watu 'wa maana' sana....sasa sio vizuri kuwachukulia kama 'watoto baki' kiasi hicho.

Brother naona kama unatania. Yaani mama mtoto anamkimbia halafu unataka niamini kuwa huyo mke wa Uporoto kwa kuwa ana roho nzuri basi abebe mizigo isiyokuwa yake. Kwanza keshabeba mengi tu kwa kumkubali huyo mwanamume aliyecheza faulo za kitoto. Kama mama wa mtoto hataki kumlea, basi jamaa ampeleke kwa pilato ili amlee kwa nguvu na akijaribu kumdhuru basi akasalimie washikaji wenzake huko Segerea. Why punish others for your silly mistakes?

upo na mie, huyo nadhani ni zaidi ya malaika, yote hayo bado ana moyo wa kumtafutia kazi ili asiende huko zambia lakini mama mtoto hakubalianai na hilo, mke wa mporoto ni wa kipekee!

Yaani huyo mwanamke ni mtu wa ajabu sana. She already offered more than what a normal binamu can offer. Namweka kwenye nafasi ya wife hata sipati picha. Ndiyo maana nadhani hii story ni fiction tu kama sinema za Rambo!!
 
Pole kaka. Kwanza shukuru mkeo kukuelewa maana ingekuwa uswahilini ndo angechapa lapa kwa kuwa umeuza timu nje tena kavu kavu.
 
Ingawa mkataba wenu wa mwanzo kidogo unafunga ..kwa vile baba wa mtoto hayupo duniani sidhani kama wewe utajisikia vizuri mtoto wako damu yako uone anateseka mitaani..Mhudumie apone kama una uwezo...kisha kaa nae na umtunze kwa mapenzi yote..
Hizo ndio dhawabu zenyewe huwezi jua zinakuja kwa njia ipi..
Uwe na moyo mkuu jinsi navyopenda watoto sipendi kushuhudia mtoto anateseka
 
Jamani Mrs sasa ndo yameshatokea, huyo Mkewe inaonekana ana huruma kabisa si ameseam angemtafutia hata kazi? damu ni nzito kuliko maji it doesnt matter kama atanyanyaswa au vipi muhimu ni kwamba huyo mtoto apate malezi ya walau baba yake, walau apate matuzno na kutibiwa.....huyo mkewe akimnyanyasa kisha baadaye akaja kuwa 'mtu wa maana' ataweka wapi uso wake?

So la msingi bado ambembeleze mkewe....amlee kama mtoto yatima tu....kisha atapata BARAKA za Mwenyezi Mungu kwa kufanya hivyo...

utakapokuwepo ndipo hapo hapo,....kwanini ucseme mamake mzazi anavyokataa kumlea baadae akija kuwa mtu wa maana mamake ataweka wapi uso wake? na kwa taarifa yako mtoto yoyote amsahau mamake hata cku moja, atatunzwa na huyu mke akifanikiwa/acfanikiwe atamtafuta mamaye kwa namna moja au nyingine.....kwanini unalazimishia huyu mke ndio amlee huyo mtoto wakati mamake yupo?....na mke akikubali tu ataletewa kila kukicha wa kulea, c ndio mwanaume ataona mteremko kuingia mikataba feki akijua mke atakubali kulea tu?.....kila mtu abebe lake hapo, walipokutana na kuvuana gagulo zao wakakutane tena wapange malezi ya mtoto....mie naishi na mtoto wa mr wangu niliemkuta nae, mamake alishafariki, bibi yupo na mama wadogo lakini kama baba yupo bac anatakiwa aishi na baba yake, mtoto chini ya mtoto wangu wa mwisho ctampokea ndani kwangu, nadhani ndio itakuwa cku ya kugawana vikombe na chungu ndani kila mtu ashike lake, ctunzi mtoto wa starehe za mtu kwa kweli na mamake yupo hai/mzima /afya njema.....watanisamehe....mie mwenyewe natamani katoto ka kufungia chapter lakini nimekuwa muoga nikifikiria hawa wawili walivyonitesa kuwalea nachoka, ndio nije nilee wa mtu na yeye yupo town anakula bata na manyoya yake?...maskhara haya.
 
amtunzeje na mkewe kagoma? jamani muwe mnatufikiria na sie wake zenu tunayachukuliaje haya, hawa watu wanatakiwa wapange mipango ya kulea mtoto wao wenyewe jinc walivyopanga kuwekeana mbegu? akimlazimisha mkewe bila ridhaa yake ujuwe huyo mtoto atapata manyanyaso yote anayosemwa kwa mama wa kambo....wewe mtoa thread na mama watoto wako mpange mjue mtoto mumpeleke wapi kama mkewe hataki kulea, mcmbebeshe mzigo wa dhambi za mumewe.

Nyamayao! Nakubaliana na wewe kabisa kwa post zako zote. Big Up yourself! Huyu mama anayejali kazi kuliko mtoto wake si wa kuendekeza hata kidogo! Kwani hiyo kazi anakwenda kufanya kwa ajili ya nani? Ikiwa ni kwa ijili ya mtoto akae hapa na baba mtu amsaidie si kasema yupo tayari! What a stupid argument kumshawishi huyu amlete mtoto nyumbani. Uporoto utaharibu ndoa yako. Mkeo kajitoa sana kuelewa kona uliyowekwa please do not ask her to give up your marriage! Wala tusiseme huyu mkewe hataki kulea ila hapaswi kumlea huyu mtoto. The deal was closed walipogawiana mbegu sasa limeanza upya linamhusuje huyu Mama wa watu...guys do not use this innocent kid to punish this innocent wife.
 
mtu akiamua kutupa uzao wake adhabu ni yake, sasa anataka nani amlelee wakati alibeba mimba/zaa mwenyewe, kwani walimshirikisha mke wakati wakikubaliana hayo?....kila mtu anaelewa mtoto hana kosa, mtoito huyo huyo ana amam yake mzazi na baba yake mzazi, kwanini hao wackubaliane juu ya kumlea mwanao walieshirikiana kumleta dunianai mpaka mje mumpe stress huyu mke alietulia ndani kwake?...kila mtu atauchua mzigo wake mwenyewe.......

Well well well.....

Nadhani hapa in the first place haya maagano siyo kitu cha kawaida kwa maisha yetu......Uporoto angetuambia kama ni Fiction kama anavohisi mkulu DC kwanza

that aside,

Nakubali kwamba dhambi ni yake mwenyewe, sawa, lakini suala la kumshirikisha mke hilo haliapply kwa sababu angemshirikisha in the first place yasingetokea haya labda.

SO kosa/makosa anayo uporoto lakini hawezi KUKWEPA kwamba mtoto ni wake na ana JUKUMU la kumlea sawa na mama yake.

Ninachozungumzia mimi ni kwamba kwa hali ilivyo, kwa maana ya mazingira pamoja na afya ya mtoto ni dhahiri huyo mama yake hawezi kumlea....na kama hawezi kumlea hatuna haja ya mahakama kusema hivyo ni kuchukua hatua maadamu mzazi mwingine yupo na ana UWEZO wa kumlea.

Kinachogomba hapa ni methodology au niseme modality ya malezi. kwa mila na desturi zetu SIONI UBAYA wowote wa huyo mtoto kulelewa na mke wake Uporoto kama wakikubaliana. Sasa tumshauri Uporoto namna nzuri ya kumresque huyu mtoto na siyo namna ya kumuabandon kisa tu kwa vile mke hakushirikishwa and the like
 
Ingawa mkataba wenu wa mwanzo kidogo unafunga ..kwa vile baba wa mtoto hayupo duniani sidhani kama wewe utajisikia vizuri mtoto wako damu yako uone anateseka mitaani..Mhudumie apone kama una uwezo...kisha kaa nae na umtunze kwa mapenzi yote..
Hizo ndio dhawabu zenyewe huwezi jua zinakuja kwa njia ipi..

Uwe na moyo mkuu

hivi mie ndio namiss kitu hapa au?...akae nae wapi ilihali mke kakata?....FL na wewe upo ndoani hebu niambie sema kabisa ukweli kutoka moyoni mwako na Mungu anakuona, ingekuwa ni wewe mume kaingia mkataba feki kama huu, mama wa mtoto yupo, baba mtoto kakubali kumtunza mtoto, kwanini huyo mwanamke atake wewe umtunzie yeye akale bata na manyoya yake zambia? kwanini asiende na mtoto wake wa makubaliano yao baba atafanya maarifa kumfikishia pesa za matuzo huko ili mradi ameshakubali kumtunza kwa kila kitu, huyu mwanamke ana lake jambo na tena kapata mwanamke mwenzie wa kumchezea! ebo walee mtoto wao kivyapo bwana mamake c yupo.
 
Ingawa mkataba wenu wa mwanzo kidogo unafunga ..kwa vile baba wa mtoto hayupo duniani sidhani kama wewe utajisikia vizuri mtoto wako damu yako uone anateseka mitaani..Mhudumie apone kama una uwezo...kisha kaa nae na umtunze kwa mapenzi yote..
Hizo ndio dhawabu zenyewe huwezi jua zinakuja kwa njia ipi..
Uwe na moyo mkuu jinsi navyopenda watoto sipendi kushuhudia mtoto anateseka
amtunze kwani mama yake kafa?
 
Back
Top Bottom