Jambo limezua Jambo.


Kuna wanawake wengine mungu huwa anawapa watoto cjui kwa bahati mbaya? wakati wenzao wanazunguka dunia nzima kupata watoto ni kazi :A S-danger:
 

thnx sooo much Liz....very well said! ...cna la kuongeza coz nitaharibu! ndicho nilichokua namaanisha sasa cjui ckueleweka au vipi.
 
Huyu mama akiachiwa tu kwenda kula Bata Zambia atafanya tena uharibifu kwa familia nyingine. Very soon mke wa Uporoto mwingine atapelekewa mtoto wa kutunza!
 
Pole kaka. Kwanza shukuru mkeo kukuelewa maana ingekuwa uswahilini ndo angechapa lapa kwa kuwa umeuza timu nje tena kavu kavu.


sio uswahilini tu, mie sio wa uswahilini lakini kumwelewa kwake ingekuwa kasheshe kubwa mno.....ampende mkewe sana tena sana akimpoteza huyo ukikutana na wenye akili kama za kina nyamayao hapa hayo maneno acngeyaingiza ndani kwangu licha ya kupata nguvu za kuniambia na kukaa na nae kudiscuss eti tufanyaje, watu mmebarikiwa wake lakini mnawatibua.
 
guys do not use this innocent kid to punish this innocent wife.

This would have been my final words to Uporoto and anybody with a different perspective!


Dada, unajua haya mambo yalitakiwa kuwa siri kiasi kwamba mke wa Uporoto asijue? Sasa mwanamke wa watu kawaonesha wema/huruma yake (very exceptional) wanataka kumtia vidole kwenye macho. Nadhani huyo mama hana adrenalin kabisa. Hivi unaweza kuanzia wapi kuongea upuuzi wa namna hiyo. Eti mama wa mtoto anaenda kutafuta pesa nyingi kwa hiyo hawezi kulea mtoto wake? Jamani watu waache utani, kila mtu anawajibika 100% kulea mtoto/watoto wake! Ila kitu kingine kinachinfanya nione hii ni fictious ni suala la kujaribu kuonesha kuwa mama hana uwezo wa kulea mtoto na wakati huo anaenda kupata green pasture Zambia. Ni vigumu kwangu kuamini kuwa hii hadithi ni ya kweli.
 
mchukue tu kaka, haina kujali kuwa yu mgonjwa au mzima huyo mama yake ni mtu aliyekata tamaa yupo tayari kukimbia jukumu la kumlea huyo mtoto na hii ni jinsi walivyo wake zetu wasioweza kuwa na uvumilivu, we mwanaume be a man mchukue umsaidie kwa hali yeyote ile usiache akapotea kwa kushindwa kumsaidia utajuta maisha yote muombe mungu akuepushe na hili jambo liwe jepesi kwako umlee binti yako kwa uzuri wema na mapenzi yote ukitegemea baraka za mungu, ujue sisi binadamu hujafa hujaumbika.!
 


You couldn't be more right......:welcome:
 
sio tu coz kavaa shanga zakichina bac mnayasahau yote.

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky: yaani hizi mm nikiziona mtu kavaa mtima wangu huwa unakufa ganzi kabisa.
 


sasa hapa mke wa uporoto kashakataa, na sioni sababu ya kumshawishi akubali,, na kwanini uanona mama mzazi hawezi kumtunza mtoto wake ipasavyo mpaka atunzwe na mke wa mporoto?...ishu sio kushirikishwa kwa mke wa mporoto ishu ni mama mtoto alee mtoto wake mwenyewe....leo hata unyumba ckupi haki ya nani vile.
 


Nitoe angalizo kuwa, Liz kasema 'do not use this innocent kid to punish this innocent wife"

na mi nasema do not use this innocent wife to punish this innocent kid.

kwa nini jamani mnakataa majadiliano? Tunamshauri uporoto akae chini na mkewe...hata kama amekataa mara ya kwanza, unadhani atakataa mara ya pili na ya tatu? haijaandikwa gongeni mlango nanyi mtafunguliwa?

kama ikishindikana basi ampeleke kwa ndugu zake kama dada au shangazi (mume), lakini mimi sio kwamba sijali hisia za wife wa uporoto...nazijua kabisa ila pia tuangalie uhalisia wa hii kitu. Kiapo cha ndoa cha Shida na Raha kimeisha expire siku hizi wajameni?

Ila wife hapo kwneye unyumba,,,,,,halafu Dark City unaniponza hapa mkuu unaona sasa....:mad2:
 

hapa tupo ukurasa mmoja mkulu!
 
Uporoto mchukue huyo mtoto wewe ndo kichwa cha familia.
Hata kama mkeo anakataa mwisho wa siku hiyo ni damu yako usiache mbachao kwa msala upitao.
 


ishu ilianza kwa baba kufariki wa ndoa(bandia kwa mtoto) akamfata baba waliekubaliana kukagana mbegu atoe matunzo, ikaja amepata kazi zambia so anataka mke wa mporoto ndio amtunzie mtoto, tukiuliza kwanini mke wa mporoto kwasasa wakati yeye ndio atajikimu vizuri kifedha na bado mporoto atatoa malezi?.....ngoja mporoto aje atueleze zaidi.
 
Huyu mama akiachiwa tu kwenda kula Bata Zambia atafanya tena uharibifu kwa familia nyingine. Very soon mke wa Uporoto mwingine atapelekewa mtoto wa kutunza!

Liz, why are you so sure?

je, huoni kwamba anaweza akawa tu decent kwa maana ya kwamba amashajifunza kutokjana na haya yaliyotokea? For God's sake she is a human being..she can change in a positive way!
 

labda yupo kwenye majukumu, akija hapa nadhani wote tutafunguka macho nini hasa kinatokea

ila hilo suala la unyumba leo.....
 

Bro, sperm donor una do kabisa!! Huo ulikuwa mtego mbaya sana,hatujafikia hapo maana kuna bank maalum kwa ajili ya kudonate sperms unaweza kuacha identification au la,ambapo huyo mama angekwenda huko akazipata!! Hata hivyo,mlikubaliana kuwa hutahusika na chochote,lakini katika hali halisi hilo haliwezekani! Kwani ndugu wa mume wa huyo mama wanajua kuwa mtoto alipatikana kwa njia hiyo? Tunza huyo mtoto pamoja na mama yake kwa namna unavyoweza
 


kiapo hakija expire, shida iko wapi hapo? raha alikula uporoto, swali langu kwako kwanini unataka mke wa uporoto alee huyu mtoto wakakti mtoto ana mamake?....kwanini mporioto ackae na hawara yake chini waongelee ili jambo washauriane wampeleke kwa mama yake mporoto au kwa mdogo/dada yake na hawara? kwanini mnataka huyu mama amlee mtoto wakati baba kashasema atamtunza wewe unataka mke wa mporoto amlee, huyu hawara alee mtoto wake mwenyewe akishirikiana na mporoto, tena vizuri kabisa mporoto kakubali kumtunza kwanini hawara akatae kutunza damu yake?...
 
Liz, why are you so sure?

je, huoni kwamba anaweza akawa tu decent kwa maana ya kwamba amashajifunza kutokjana na haya yaliyotokea? For God's sake she is a human being..she can change in a positive way!


hakuna alie perfect chini ya jua, sooo akamlee mwanae zambia ili nae awe busy acje fikiria kuvua tena gagulo kirahic rahic tu.
 

mporoto yupo tayari, huyo mama ndio hayupo tayari....hana lolote anataka tu kuvuruga nyumba ya mwenzie....alee mtoto wake akishirikiana na mporoto, wanaume wengine bwana, unawezajikuta unakuja kutolewa ndani ya nyumba baba kauza nyumba bila kujua, ndio hii mikataba feki.
 

Sijui kwa nini akina mama huwa mnakuwa na roho mbaya sana kha! utafikiri wewe sio mzazi?:glasses-nerdy:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…