Pre GE2025 Jambo TV yasema itarusha Live mkutano wa CHADEMA licha ya kupewa vitisho

Pre GE2025 Jambo TV yasema itarusha Live mkutano wa CHADEMA licha ya kupewa vitisho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.

Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.

Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Ifike mahali tuyaone Yale manufaa ya kusema tunayo demokrasia
 
Nadhani Mh. Rais alikuwa ana danganya watu na 4R zake.
Haya tunayo yaona siku hizi za karibuni ni ishara tosha kwamba kuna ulaghai ulio kithiri kwenye kauli ya 4R. Pia tume ya haki jinai ilikuwa ni Issue ya matumizi mabaya ya kodi zetu. Hakukuwa na sababu za msingi kuanzisha ile thme na kuwapa facility zote kwa gharama za Watanzania halafu vyombo vya dola vina fanya mambo ya utawala wa Magufuli.
Na Rais amekaa kimya kama msemo wake wa chura.
Kama alikuwa ame maanisha na 4R zake tulitegemea kuona IGP, kamishna wa Mafunzo na operesheni na Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya mambo ya ndani wakiwa wamesha tuachia ofisi zetu
Tuna laani yanayo fanyika hivi sana kwa vyama vya upinzani na Rais amekaa kimya.
Hii ina tuaminisha kuwa ni kweli Chadema wali gundua ulaghai wa hali ya juu kwenye vikao vya maridhiano ambavyo havikuwa na tija.
Samiah ana hila kama wale watoto wa Yakobo waliopatana na familia ya kina Shekem kwamba ili tuoane lazima mtahiriwe,wale jamaa wakaingia kichwa kichwa kwa tamaa ya Shekemu kumwoa Dina ikabidi watahiriwe wanaume wote ili waweze kuoana na familia ya Yakobo.Lakini kilichotokea baada ya siku tatu wale vijana walinoa mapanga na kuwateketeza wanaume wote wa familia ya akina Shekemu.Na ndivyo alivyo Samiah kwa CHADEMA anawapooza ili wamkubali kwa sababu waliteswa sana na Magufuri kumbe lengo lake ni kuwateketeza CHADEMA kabisa asibaki hata mmoja ili atawale vizuri.
 
Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.

Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.

Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Halafu hii Jambo TV si ndiyo online TV ya Peter Msigwa? Nilidhani atahama nayo chama kwa kuipa misimamo ya CCM, lakini naona imekuwa tofauti.

Au labda wanajenga uaminifu huko ili kuwekwa karibu na chama, kisha wawe daraja la taarifa zijazo? Wananikumbusha marehemu jasusi Cohen wa Mossad.

Ova
 
Baba mbowe ni gaidi linajulikana dunia nzima, yaani linabahati naomba Mungu hilo gaidi lirejeshewe kesi ya ugaidi liende lihukumiwe kifo cha kunyongwa hadi life na kutoa kinyesi kigumu
Dunia ipi unaongelea? Kama ni ya hapa bongo sawa, ila niliepo huku mbona hata hizo story hawana 🤣🤣
 
Baba mbowe ni gaidi linajulikana dunia nzima, yaani linabahati naomba Mungu hilo gaidi lirejeshewe kesi ya ugaidi liende lihukumiwe kifo cha kunyongwa hadi life na kutoa kinyesi kigumu
Nenda kamkamate sasa kama inajulikana ni gaidi,ukimtaja Mbowe ujue unamzungumzia mtoto wa tajiri,aliyemsaidia baba wa taifa kuupata huu uhuru unaoutumia kumtukana,hata hivyo, Mbowe is too rich for you to talk about, hao unaotamani wamnyonge wanamheshimu instead.
 
Yaani natamani wapigwe virungu na huyo mbowe mpaka avunjwe kiuno aliye mamaaaaaa hahaha bahati yenu ningekuwa porisi mgekoma ni mitama na mingumi tu waadishi ka ninyi
Mpaka uwe polisi? Nenda kawakate mitama ww, au ww huna ujanja wowote zaidi ya kutegemea mbeleko vya dola?
 
Yaani natamani wapigwe virungu na huyo mbowe mpaka avunjwe kiuno aliye mamaaaaaa hahaha bahati yenu ningekuwa porisi mgekoma ni mitama na mingumi tu waadishi ka ninyi
Kama vile ulivyopigwa Jana Usiku kuamkia alfajiri ya Leo,
Mpaka ukawa unahema na kulia kwa apige taratibu 🤣🤣😅😅😅🤣🤣

Virungu umenogewa navyo mpaka unataka wengine wapigwe???🤔🤔🤔
 
Ubaya Ubwela. Ni kama jini mla damu mbowe alivyoshangilia kifo cha Dkt Magufuli mpaka na yeye afe tena hata maiti yake ikiliwa na mbwa sawa. Unajua kiasi gani tuliumizwa na kifo cha mpendwa wetu Dkt Magufuli??? Unafikiri mnapo simama majukwaani kuanza kumdhihaki tunajisikiaje???
Magu alikuwa shetani kwenye umbile la binadamu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Dunia ipi unaongelea? Kama ni ya hapa bongo sawa, ila niliepo huku mbona hata hizo story hawana 🤣🤣
Mbowe anajulikana ni gaidi muuaji jinu mla damu ananuka damu za wafuasi wake wengi akina ben, lisu almanusura kumpoza akapewa umakamu etc
 
Kama vile ulivyopigwa Jana Usiku kuamkia alfajiri ya Leo,
Mpaka ukawa unahema na kulia kwa apige taratibu 🤣🤣😅😅😅🤣🤣

Virungu umenogewa navyo mpaka unataka wengine wapigwe???🤔🤔🤔
Hahaha hivi sugu kunyo anaendeleaje hahaha yaani ingekuwa kwenye hiyo gari ningemkanyaga mpaka anye kinyesi chenye parachichi za mbeya
 
Magu alikuwa shetani kwenye umbile la binadamu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Ndiyo hivyo sasa alishafariki na hayupo, tunaongelea vipigo vya mbwa koko kwa wahuni hawa akina sugu, na bado
 
Hahaha hivi sugu kunyo anaendeleaje hahaha yaani ingekuwa kwenye hiyo gari ningemkanyaga mpaka anye kinyesi chenye parachichi za mbeya
Kama kinyesi ulichokunya alfajiri baada ya shughuli ile eheee 😅🤣🤣
 
Back
Top Bottom