Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza; Mvuvi Nigeria atafuna samaki mwenye thamani ya mabilioni ya shilingi bila kujua

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza; Mvuvi Nigeria atafuna samaki mwenye thamani ya mabilioni ya shilingi bila kujua

Mvuvi mmoja katika kijiji cha Warri, jimbo la Niger Delta nchini Nigeria amevua samaki aina ya Blue Marlin mwenye uzito wa 87 kgs na kumchinja kisha kugawana nyama na wanakijiji wenzie.

Baadae kampuni ya Pacific seafood ya nchini Marekani iliposikia habari za kuvuliwa kwa samaki huyo adimu duniani ilitangaza offer ya 30,000$ kwa kila kilo sawa na TZS 69M kwa kilo, ambapo ingelipa jumla ya 2.6 US$ million sawa na Tshs bilioni 6 kwa kilo zote 87. Lakini wakati kampuni hiyo inatangaza offer hiyo tayari samaki huyo alikua ameshaliwa na kuisha.

Frank Dulcich Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Pacific Seafood amesema kitu ambacho mvuvi huyo hakujua ni kwamba wakati anafurahia kutafuna minofu ya samaki huyo, alitafuna pia urithi wa familia yake vizazi na vizazi.

"As he was eating together with his villagers, he didn't know that he has eaten the wealth for his generations to come" amesema Dulcich.!

Blue Marlin ni moja ya samaki adimu sana duniani na wenye thamani kubwa sana baada ya Bluefin Tuna na White Marlin. Wanapatikana bahari ya Pacific tu, na kabla ya huyu aliyepatikana Nigeria, mwingine alipatikana nchini Nicaragua mwaka 2014.!

Kwani hao waliotaka kumnunua walikuwa na lengo la kumlamau kumuweka makumbusho? Kama ni kumla hata yeye ana haki ya kumla pia
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
mkuu yaani sijaisoma hata habari ,Ila kichwa Cha mada tu kimenifanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nicheke,unajua unaweza ukatamani umtapike lkn ndo haiwezekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
" Blue Marlin ni moja ya samaki adimu sana duniani na wenye thamani kubwa sana baada ya Bluefin Tuna na White Marlin. Wanapatikana bahari ya Pacific tu, na kabla ya huyu aliyepatikana Nigeria, mwingine alipatikana nchini Nicaragua mwaka 2014.!"

Pacific Ocean inafika Nigeria??????? JF members tuwe tuna heshimiana please.
Mkuu kwani bahari imegawanywa kwa kuta?
 
Ingekuwa mimi, nikienda kunya basi kinyesi sikitupi.

Nawaachia wanangu kama urithi kuwa utajiri wenu upo kwenye hicho kinyesi.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe na wewe Mshana Jr huwa ni mwamba wa kuleta taarifa feki JF, kama huyo samaki anapatikana bahari ya Pacific tu, na wakati huo Nigeria hupakana na Atlantic tu, wala si Pacific manake fake news! BTW source of inf hujaweka!
Nimeileta hapa kama ilivyo unaweza kuthibitisha vinginevyo ..ndio maana ya kuwa GT

 
mkuu yaani sijaisoma hata habari ,Ila kichwa Cha mada tu kimenifanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nicheke,unajua unaweza ukatamani umtapike lkn ndo haiwezekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakujua thamani yake...Am sure muda huu anajutia
Arudi tena sehemu alipomvua ayaombe majini ya bahari huenda yatamsikiliza na kumatia mwingine, vinginevyo akitumia kigezo cha thamani toka kampuni ya samaki awapelekee bili wote wale aliowapa samaki yule, ninauhakika watamfidia japo kifutamachozi.
 
Arudi tena sehemu alipomvua ayaombe majini ya bahari huenda yatamsikiliza na kumatia mwingine, vinginevyo akitumia kigezo cha thamani toka kampuni ya samaki awapelekee bili wote wale aliowapa samaki yule, ninauhakika watamfidia japo kifutamachozi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Golden chance never come twice...!!! Only once in a lifetime..!!!
 
Mungu ni mwingi wa rehema utoa rizik kwa amtakae na umnyima amtake hao wanakijiji wajitafakari sana walikosea wapi kwa mola wao.
 
Kwel kabsa aisee usiombe

Kumbe na wewe Mshana Jr huwa ni mwamba wa kuleta taarifa feki JF, kama huyo samaki anapatikana bahari ya Pacific tu, na wakati huo Nigeria hupakana na Atlantic tu, wala si Pacific manake fake news! BTW source of inf hujaweka!

Mkuu Humjui huyu bwana? Kiufupi ni mtu anayejifanya kudandia dandia taarifa ili kutafuta chippu popularity jf

" Blue Marlin ni moja ya samaki adimu sana duniani na wenye thamani kubwa sana baada ya Bluefin Tuna na White Marlin. Wanapatikana bahari ya Pacific tu, na kabla ya huyu aliyepatikana Nigeria, mwingine alipatikana nchini Nicaragua mwaka 2014.!"

Pacific Ocean inafika Nigeria??????? JF members tuwe tuna heshimiana please.
Ametranslate vibaya taarifa ... Samaki huyo anapatikana bahari zote 2,Both Pacific And Atlantic ..
Ila siyo wazuri kwa kuliwa.
Wana Mercury nyingi

Kama huyo waliyemvua hao Nigerians Anaitwa Atlantic blue Marlin
 
Back
Top Bottom