Hata Gadafi alikuwa nalo.Laurent Gbagbo vile vile.Wako wapi?Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.
Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.
Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
jinga kubwa wwNiko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.
Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
Mkiitwa wasengerema na wapumbavu huwa mnakasirika na kuagiza watu wauaweNiko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Mkuu,Mkuu Watanzania ndiyo wanaopiga kura na wao ndiyo wanaamua nani wamchague. Hata ukisema watu wamtenge mbunge anayehama chama, watamtenga vipi wakati wanakubaliana naye?? Nasema wanakubaliana naye maana hata uchaguzi ukirudiwa, yule anayehamia CCM ndiye anayeshinda, hiyo ni kilelezo tosha kuwa wananchi wa jimboni kwake wanakubaliana naye.
Tatizo ni CHADEMA kutokuwa na SERA za MAENDELEO KWA WANANCHI, na wananchi wamechoka na sera za maandamano kila siku, watu wanataka maendeleo kama anavyofanya Rais wao Magufuli.
Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo, Unauliza maendeleo gani, wewe ni mgeni hapa Tanzania na huoni kinachofanywa na Serikali sasa hivi??maendelea gani ?? kwann ccm watumie polisi katika uchaguzi?? kwann ccm wanunue wapinzani? kwann ccm waue wapinzani??
kwann itumike nguvu nyingi kweny suala la uchaguzi??
Mkuu unazani MACCM wanataka majadiliano?
Mleta mada yuko sahihi 100% . Vyama vingi vilivyokaa madarakani kwa mudu mrefu, huondolewa kwa vurugu kwa kuwa tu hukuona wana hati miliki ya taifa lolote.Kwa hiyo wewe mkuu unataka VITA!
Unaposema "tujaribu tuone" unataka kujaribu na nani??....kama unataka kujaribu vita basi mchukue mkeo na watoto wako wavalishe mabomu, ndiyo mjaribu hiyo vita, sisi usituambie huo UJINGA wako mkuu.Mkuu,
tusiandikie mate natujaribu tuone!
Chadema tokea lini mumekuwa waisilamu au mumezisahau propaganda zenu dhidi yaoHivi Al Shabaab au Boko Haram imesajiliwa na nani?
Q..a weweChadema walikuwa wanawapiga wazee watu wazima kisa kuvaa sare za Chama cha Mapinduzi,nimeshuhudia sijahidithiwa.
Na mpaka leo kuna watu wanauchungu sana,basi tu kwasababu ya sheria
Wazee walikuwa wanasukumwa mitaroni na hawa watoto wa Bavicha.
Kwahiyo unashauri tufanyeje?Mr mkiki naomba Mungu tusifike huko, huko utamaniko kutupeleka siko.
Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo, Unauliza maendeleo gani, wewe ni mgeni hapa Tanzania na huoni kinachofanywa na Serikali sasa hivi??
Polisi wanatumika kulinda raia na mali zao. Ulitaka wakati wa uchaguzi polisi wasifanye kazi zao za kuwalinda raia na mali zao??
Unaposema wapinzani wamenunuliwa, unao ushahidi unaoonesha kuwa kuna mtu amenunuliwa? Na kama siasa ni biashara ya kuwanunua wanachama ninyi mnashindwa nini kuwanunua hao wanachama??
Ukisema CCM inaua wapinzani, unaweza kutuambia nani ameuliwa na CCM ukiwa na ushahidi tosha kabisa?
Mkuu vita unaijua au unaisikia tu kwa wenzako?? Haya mambo siyo ya kushabikia shabikia tu kama mpira vile. Ukitaka kuijua vita au harufu ya vita hebu safiri mpaka Syria ukaone kinachotokea kisha ndio utajua vita ni nini.
Mimi naamini kuna namna zingine za kupata solution kwenye mitafaruku lakini siyo vita, vita iacheni tu kwa majirani lakini siyo hapa kwetu.
Hiyo avatar ya kigaidi ndio msimamo wa chadema.Q..a wewe
Unaposema "tujaribu tuone" unataka kujaribu na nani??....kama unataka kujaribu vita basi mchukue mkeo na watoto wako wavalishe mabomu, ndiyo mjaribu hiyo vita, sisi usituambie huo UJINGA wako mkuu.
Sisi Watanzania wengine tunataka "amani" na "utulivu" kwenye nchi yetu, hayo mambo ya vita na ugaidi hatutaki kuyasikia kabisa!
Q..a weweMkuu vita unaijua au unaisikia tu kwa wenzako?? Haya mambo siyo ya kushabikia shabikia tu kama mpira vile. Ukitaka kuijua vita au harufu ya vita hebu safiri mpaka Syria ukaone kinachotokea kisha ndio utajua vita ni nini.
Mimi naamini kuna namna zingine za kupata solution kwenye mitafaruku lakini siyo vita, vita iacheni tu kwa majirani lakini siyo hapa kwetu.