Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
Hata Gadafi alikuwa nalo.Laurent Gbagbo vile vile.Wako wapi?
 
Mimi nasubiri tu,kuna watu wanalazimisha kuona damu za watanzania,wataziona tu.Nchi imepata viongozi washenzi na wauaji haijawahi tokea.
 
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.

Hakuna anetaka vita mkuu, watu wanataka suluhu ije yenyewe maana hakuna wa kuileta!!
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
jinga kubwa ww
 
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.

ukute we ni nape nauye!!
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Mkiitwa wasengerema na wapumbavu huwa mnakasirika na kuagiza watu wauawe
 
Mkuu,
tusiandikie mate natujaribu tuone!
 
maendelea gani ?? kwann ccm watumie polisi katika uchaguzi?? kwann ccm wanunue wapinzani? kwann ccm waue wapinzani??

kwann itumike nguvu nyingi kweny suala la uchaguzi??
Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo, Unauliza maendeleo gani, wewe ni mgeni hapa Tanzania na huoni kinachofanywa na Serikali sasa hivi??

Polisi wanatumika kulinda raia na mali zao. Ulitaka wakati wa uchaguzi polisi wasifanye kazi zao za kuwalinda raia na mali zao??

Unaposema wapinzani wamenunuliwa, unao ushahidi unaoonesha kuwa kuna mtu amenunuliwa? Na kama siasa ni biashara ya kuwanunua wanachama ninyi mnashindwa nini kuwanunua hao wanachama??

Ukisema CCM inaua wapinzani, unaweza kutuambia nani ameuliwa na CCM ukiwa na ushahidi tosha kabisa?
 
Mkuu unazani MACCM wanataka majadiliano?
Kwa hiyo wewe mkuu unataka VITA!
Mleta mada yuko sahihi 100% . Vyama vingi vilivyokaa madarakani kwa mudu mrefu, huondolewa kwa vurugu kwa kuwa tu hukuona wana hati miliki ya taifa lolote.
Au kwa kuvipandikizia watu kama ilivyo tokea USSR Urusi ya zamani.

CCM pia tukubali walikuwa vizuri kabla huyu jamaa anayesema ni marufuku kwa watendaji kuwa neutral. Na hakuna ruhusa kumtangaza mpinzani wake .
Utafanyaje Siasa safi wakati mpinzani wako keshaamuru vyombo vya dola na watendaji kutokuwa neutral ??!!
 
Mkuu,
tusiandikie mate natujaribu tuone!
Unaposema "tujaribu tuone" unataka kujaribu na nani??....kama unataka kujaribu vita basi mchukue mkeo na watoto wako wavalishe mabomu, ndiyo mjaribu hiyo vita, sisi usituambie huo UJINGA wako mkuu.

Sisi Watanzania wengine tunataka "amani" na "utulivu" kwenye nchi yetu, hayo mambo ya vita na ugaidi hatutaki kuyasikia kabisa!
 
Chadema walikuwa wanawapiga wazee watu wazima kisa kuvaa sare za Chama cha Mapinduzi,nimeshuhudia sijahidithiwa.

Na mpaka leo kuna watu wanauchungu sana,basi tu kwasababu ya sheria
Wazee walikuwa wanasukumwa mitaroni na hawa watoto wa Bavicha.
Q..a wewe
 

ndugu

inaonesha wew ndo mgeni kweny hii nchi

kama huwajuu walompiga tundu lisu risasi 38 vungaaa

inaonesha unaongea while umekalia m....o
 

Kinachozuia vita hapa kwetu ni cdm kukalia kimya kuumizwa na kufanyiwa unyama wa wazi. Sasa cdm hawapaswi kukaa kimya tena kwa hali ilipofikia. Hiyo suluhu inapatikana wapi wakati watu wanazidi kuumizwa tu?
 

Nilisema tujaribu kuwgomea hao uliosema tuliwachagua tuone! hilo ndio ninaloliongea mimi...wewe si ulisema tuliwachagua? basi na tujaribu sisi raia kuwagomea uone ni wangapi hawatawagomea? Naona umekuwa mkali kijana....
Ni simple fanyeni haki na amani itakuwa bure kabisa! amani ni vitendo sio mpeige domo tu! Amani ni pande zote sio kwa upande fulani tu!
 
Q..a wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…