Hapa umetuingiza mjini. Hajawahi kuwa CDF wa DRC. Huko DRC alikuwa ni kiongozi wa M23.Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Mpango naye kweli anaweza kuwa hatari? Yule hats Mungu akimchukua maza hatakataa kabisa kuw R kwanza atapanic nakuwaambia kamati kuu kiroho safi hataki uROgopa sana watu wenye innocent faces.
Huwa ni hatari kuliko watu wanavyoweza kufikiri.
Huyu c ndie aliyetumwa na Kagame wakiwa bado msituni akamuua Rwigema the great.Ni Kamanda la vita mda wote ambaye kwa jina ni James Kabarebe.
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe, ni mtu anayeaminiwa mno na Rais wa Rwanda na anatajwa ndiye mrithi wa baadae wa Paul Kagame bila kujali umri wake.
Yamhusuyo huyo Jemedari ni mengi. Nakualika peruzi kwenye mitandao ya Kijamii ili ujifunze mengi yamhusuyo.
View attachment 2867168
Pia soma,
1. James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024
2. James Kabarebe: Rwanda haipatani na nchi majirani zote, Raia wake watakua hawana pa kwenda
Aaaah,umenikumbusha yule mtu mwema FREDY apumzike kwa amani huko alipo.Huyu c ndie aliyetumwa na Kagame wakiwa bado msituni akamuua Rwigema the great.
....kuwa makini na jifunze kurejelea historia ili uwe na weredi wa kubisha kwa mantiki.Hapa umetuingiza mjini. Hajawahi kuwa CDF wa DRC. Huko DRC alikuwa ni kiongozi wa M23.
Na Kagame anamuamini sana huyu jamaa kwasabb ndiye waliyesaidiana naye kudungua ndege iliyowaua marais 2; yule wa Burundi na WA Rwanda halafu Kagame akapata mdaraka
Hapana. Congo alikuwa strategist tu. Na kuhusu kuwa kiongozi wa M23 ni vile tu analindwa na kukumbatiwa na Kagame.....kuwa makini na jifunze kurejelea historia ili uwe na weredi wa kubisha kwa mantiki.
Kwa taarifa yako, mosi; James Kabarebe hajawahi kuwa mkuu wa Kikosi cha Waasi wa M23 hata siku moja. Pili, James alihudumu kama CDF wa Congo DR kwa kuazimwa akitokea RDF.
Kwani kuna walioshindikana kutoroshwa? maana tulisikia mmoja katoroshwaAsije kuwa anawafuata wale wakimbizi wa Rwanda ambao walishindikana kutoroshwa kwa nguvu.😭😭😭😭
Kama unalosema ni kweli, basi hana muda huyo KabaNinachojua PK na kabarebe hawaongei sasa hv...Pk anamtafuta uchawi
Acha roho mbaya huko ni kumtafutia kifo huyo JamesNi Kamanda la vita mda wote ambaye kwa jina ni James Kabarebe.
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe, ni mtu anayeaminiwa mno na Rais wa Rwanda na anatajwa ndiye mrithi wa baadae wa Paul Kagame bila kujali umri wake.
Yamhusuyo huyo Jemedari ni mengi. Nakualika peruzi kwenye mitandao ya Kijamii ili ujifunze mengi yamhusuyo.
View attachment 2867168
Pia soma,
1. James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024
2. James Kabarebe: Rwanda haipatani na nchi majirani zote, Raia wake watakua hawana pa kwenda
Hapa umetuingiza mjini. Hajawahi kuwa CDF wa DRC. Huko DRC alikuwa ni kiongozi wa M23.
Na Kagame anamuamini sana huyu jamaa kwasabb ndiye waliyesaidiana naye kudungua ndege iliyowaua marais 2; yule wa Burundi na WA Rwanda halafu Kagame akapata mdaraka
WataniwindaOngezea nyama mkuu!
Kagame bado ana afya njema kabisa wala hana wazo la kuondoka hapo.Kwani Kagame keshatosheka?maana viongozi wa Africa Kwa ulafi
Swali la msingi,katisheka? maana tamaa ya viongozi wa Africa inaelewekaKagame bado ana afya njema kabisa wala hana wazo la kuondoka hapo.
Kama Museven hafikirii kuachia Madaraka na uzee ule ndio sembuse Kagame ambaye Kwa muonekano Tu unamuona yuko fit?
Sio kweli. Hakuwa CDF wa Congo DR. Leta literature kuthibitisha madai yako.....kuwa makini na jifunze kurejelea historia ili uwe na weredi wa kubisha kwa mantiki.
Kwa taarifa yako, mosi; James Kabarebe hajawahi kuwa mkuu wa Kikosi cha Waasi wa M23 hata siku moja. Pili, James alihudumu kama CDF wa Congo DR kwa kuazimwa akitokea RDF.
Geita uko mtaa gani, ningependa tuonane. Nimehamasishwa na jina Suzy na origin ya Rwanda, hivyo nimekuwa na imagination kubwa sana kichwani kuhusu ulivyo.....hahaha!
Bado nipo Kicukiro ndugu, karibu!
Hamna kitu kwa james.....kilichomkuta DRC anakijua....DRC NA RWANDA HAKUNA MAJESHI BALI MAKUNDI YA WAHUNI WALIOVAA SARE ZA KIJESHI.....SABABU M23 NI HAO HAO WANAJESHI WA RWANDA.Ni Kamanda la vita mda wote ambaye kwa jina ni James Kabarebe.
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe, ni mtu anayeaminiwa mno na Rais wa Rwanda na anatajwa ndiye mrithi wa baadae wa Paul Kagame bila kujali umri wake.
Yamhusuyo huyo Jemedari ni mengi. Nakualika peruzi kwenye mitandao ya Kijamii ili ujifunze mengi yamhusuyo.
View attachment 2867168
Pia soma,
1. James Kabarebe na Jack Nzinza waonesha nia ya kugombea urais 2024
2. James Kabarebe: Rwanda haipatani na nchi majirani zote, Raia wake watakua hawana pa kwenda
KAYANGA KWA PALE JUU KILOMETA KADHAA OMURUSHAKA......!!Trust me.
Huyu jamaa siku Kikwete anaapishwa...nilikuwa na huyu mtu..sehemu inaitwa Oumurushaka...tukifuatilia kwenye luninga.
N.B.
Oumurushaka ni hapa hapa Tanzania.