Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Omurushaka, nadhani iko Muleba. Umenikumbusha mbali, majina Omurushaka, Nkwenda, Kaisho na Katerero enzi zile tunanunua kahawa.Trust me.
Huyu jamaa siku Kikwete anaapishwa...nilikuwa na huyu mtu..sehemu inaitwa Oumurushaka...tukifuatilia kwenye luninga.
N.B.
Oumurushaka ni hapa hapa Tanzania.