Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Omurushaka, nadhani iko Muleba. Umenikumbusha mbali, majina Omurushaka, Nkwenda, Kaisho na Katerero enzi zile tunanunua kahawa.Trust me.
Huyu jamaa siku Kikwete anaapishwa...nilikuwa na huyu mtu..sehemu inaitwa Oumurushaka...tukifuatilia kwenye luninga.
N.B.
Oumurushaka ni hapa hapa Tanzania.
Yeah nimesikia hilo piaNinachojua PK na kabarebe hawaongei sasa hv...Pk anamtafuta uchawi
Ongezea nyama chiefAmekuja kuweka sawa diplomasia ya kijasusi maana Rwanda imeshayatimbanganya korido za ujasusi baina yake na TZ
Mabeyo kapigana vita gani?Hamna kitu hapa! Acha kuangalia movie.
CDF ambaye hajawai kupigana vita yoyote[emoji53][emoji53]
Mkuu. Siyo rahisi kihivyo. Historia ya makamu wa raisi huandikwa kwa penseli. Lakini historia ya raisi huandikwa kwa pen (kalamu ya wino). Hivyo si rahisi mtu kuukataa uraisi.Mpango naye kweli anaweza kuwa hatari? Yule hats Mungu akimchukua maza hatakataa kabisa kuw R kwanza atapanic nakuwaambia kamati kuu kiroho safi hataki uR
Mwezi Desemba 2023 serikali ya Rwanda ilimteka na kumrudisha Rwanda jenerali aliyeasi na kusaka hifadhi ya kisiasa hapa nchini.Ongezea nyama chief
Thanks mkuu. Special branch dohh!! Kitambo sana hii.Mwezi Desemba 2023 serikali ya Rwanda ilimteka na kumrudisha Rwanda jenerali aliyeasi na kusaka hifadhi ya kisiasa hapa nchini.
Tumekuwa tunajisifia kuwa tuna intelejebsia kali na imara lakini hayo ni manejo tu...
Wapo Wanyarwanda kadhaa nchini kwenye idara nyeti za serikali na huratibu mambo kwa faida na manufaa ya Rwanda.
Kitendo cha Rwanda kuendelea kufanya oparesheni zake za kijasusi hapa nchini ni wazi branch imeanza kustuka na kifuatacho ITV.....
Mkuu sasa unalinganisha uvccm akina mabeyo na Kaberege?Mabeyo kapigana vita gani?
Ahahahaha..Mkuu sasa unalinganisha uvccm akina mabeyo na Kaberege?
Mkuu soma huu huzi hapa. Thread 'Kutekwa kwa Paul Manzi, raia wa Rwanda nchi Tanzania kunaichafua nchi kidiplomasia' Kutekwa kwa Paul Manzi, raia wa Rwanda nchi Tanzania kunaichafua nchi kidiplomasiaThanks mkuu. Special branch dohh!! Kitambo sana hii.
Sema kama ni ya kwel haya, hii ni aibu kubwa sana.
Kama tulikua tuna uwezo wa kuwapa hifadh za kisias vjongoz wakubwa wa movement za uhuru enzi zile na wakawa salama leo hii kutunza vidagaa tu tunashindwa wanatekwa mchana mchana!!!..
Hio kwakwel ni fedheha kubwa
Kifo chq Major General Fredy hadi leo ni pigo kwa Rwanda. Angekuwepo hadi mwisho sidhani kama wangekuwa na mauaji na ukabila kwa kiasi kilichopo.Aaaah,umenikumbusha yule mtu mwema FREDY apumzike kwa amani huko alipo.
Halafu kuna watanzania kibao jeshi la 🇷🇼Hamna kitu kwa james.....kilichomkuta DRC anakijua....DRC NA RWANDA HAKUNA MAJESHI BALI MAKUNDI YA WAHUNI WALIOVAA SARE ZA KIJESHI.....SABABU M23 NI HAO HAO WANAJESHI WA RWANDA.View attachment 2868032
Ipo KaragweOmurushaka, nadhani iko Muleba. Umenikumbusha mbali, majina Omurushaka, Nkwenda, Kaisho na Katerero enzi zile tunanunua kahawa.
Afande Palanjo bado yupo?KAYANGA KWA PALE JUU KILOMETA KADHAA OMURUSHAKA......!!
AU ULIKUA NA BOSCO MKUU 🤣🤣🤣
Hasa wale waliozaliwa tabora kule ulyankulu....na biharamuro...na karagwe na kyelwa na kibondo na kasulu na ngara na wazazi wa kutoka!!!Halafu kuna watanzania kibao jeshi la 🇷🇼
Oooh! Thanks kwa marekebishoIpo Karagwe
Hata nasi hapo Kigali tuna watu wetu mkuu au hulijui hilo?Mwezi Desemba 2023 serikali ya Rwanda ilimteka na kumrudisha Rwanda jenerali aliyeasi na kusaka hifadhi ya kisiasa hapa nchini.
Tumekuwa tunajisifia kuwa tuna intelejebsia kali na imara lakini hayo ni manejo tu...
Wapo Wanyarwanda kadhaa nchini kwenye idara nyeti za serikali na huratibu mambo kwa faida na manufaa ya Rwanda.
Kitendo cha Rwanda kuendelea kufanya oparesheni zake za kijasusi hapa nchini ni wazi branch imeanza kustuka na kifuatacho ITV.....
Haya ni maneno yaliyochoka mbaya kabisa.Hata nasi hapo Kigali tuna watu wetu mkuu au hulijui hilo?
Wajaribu tu kumwaga hata mkojo waone achilia damu.
Karagwe kayanga unapita Kamaungu unaenda huko............. asee nlikwepo aseeeTrust me.
Huyu jamaa siku Kikwete anaapishwa...nilikuwa na huyu mtu..sehemu inaitwa Oumurushaka...tukifuatilia kwenye luninga.
N.B.
Oumurushaka ni hapa hapa Tanzania.