James Mbatia amkingia kifua Spika Ndugai, kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa kutafuta Spika mpya

James Mbatia amkingia kifua Spika Ndugai, kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa kutafuta Spika mpya

Mbatia huyu huyu au mwingine.

Ukute hajawahi tumia hizo rules zake za udom, ngoja tuone
 
Ni case nzuri Sana ambayo inaweza kuisaidia Nchi kwa kuweka Misngi mizuri kwa Jambo Kama hili la Ndungai haswa kwa wakati ujao. Lakini kwa Mahakama hizii, sijui. Tena itapigwa chini kwa vitechnical grounds vya kutafuta kwa tochi.
Hii itapigwa kibuti mapema sana
 
Ndugu,
Wakati wa kesi ya Lissu kuvuliwa ubunge walituthibitishia kuwa kwenye mambo ya msingi, mahakama yetu haiko tayari kugombana na Bunge. Mbunge wa kumrithi Lissu alipokelewa na kuapishwa Bungeni wakati kesi ya kupinga bado iko mahakamani.
Mbatia aendelee na kesi kwa madhumuni ya kuuanika tena muhimili huo uliyokosa aibu. Labda waTz wataanza kufumbuka macho. Amen
Ndiyo maana nangangania Tanzania hatuna Mahakama huru!!!
 
Mkuu Sexless , japo sijabahatika kuiona charge sheet, lakini Mbatia has a point.
1. Katiba imetoa maelekezo Spika akijiuzulu barua anapeleka kwa nani?. Hili halijufanyika!. Why?. Mahakama itajibu...
Pascal, hapo mahakama itakuwa inaombwa kitu gani? Kubatilisha mchakato ili uanze upya, au?
 
Sijui ni umbumbumbu wangu wa sheria!!? Naona kama kesi ya Mbatia imekosa mashiko na Mbatia anakosa uhalali wa kuifungua.

Hapa ni sawa na mke/mume aamue kumuacha mume/mke wake halafu jirani akapinge mchakato wa kuachana.

Au mfanyakazi aamue kuacha kazi na mwajiri wake akaridhia, halafu anatokea kidudu mtu apinge mchakato.

Pascal Mayalla na Petro E. Mselewa
naombeni msaada ktk hili.
Wewe Ni Lumpen, haya ya Sheria huyawezi
 
Mwenyekiti wa chama cha Upinzania cha NCCR Mageuzi James Mbatia amefungua kesi ya kupinga mchakato wa kujiuzulu kwa aliyekuwa spika wa bunge la Tanzania na uteuzi wa mgombea wa uspika wa bunge...
Wapinzani wetu huwa hawahangaiki/hawakomai na hoja zinazowakera watanzania, wao ni kutafuta kiki tu zisizo na maana, kwa hiyo anataka kuzuia bunge lisiendelee na kazi , maana bila kupatikana spika shughuli za bunge hazitaendelea, kwa hiyo anapinga wawakilishi wa wananchi wasiendelee na kazi, ridiculous.
 
Hivi nikiuliza swali hili, hivi Nchi hii ni ya nani? Mkisema ya watz wote, si sawa, wanasiasa, hapana, wakulima na wafanyakazi, haipo, polisi, sijui, jwtz, si kweli, tiss? Sijajua, maana watu hata wakiwa na mamlaka na madaraka, hawajihamini kabisa, kwa kauli na vitendo. Sasa mdume kama Ndugai kwanini alilikoroga akashindwa kulinywa?
 
QUOTE="Stuxnet, post: 41468310, member: 37228"]
Ukisikia mwanaume anaingiliwa na wanaume wenzie usitarajie atakuwa na akili nzuri. Msimchukulie Mbatia James seious
[/QUOTE]


Heeee😳😳😳😳😳
 
Wapinzani wetu huwa hawahangaiki/hawakomai na hoja zinazowakera watanzania, wao ni kutafuta kiki tu zisizo na maana, kwa hiyo anataka kuzuia bunge lisiendelee na kazi , maana bila kupatikana spika shughuli za bunge hazitaendelea, kwa hiyo anapinga wawakilishi wa wananchi wasiendelee na kazi, ridiculous.

Uoza kwa uoza , Bunge la Magufuli unaita Bunge la wananchi, kazi ipo? Au Halima Mdee anakuwakilisha?
 
Mkuu Sexless , japo sijabahatika kuiona charge sheet, lakini Mbatia has a point.
1. Katiba imetoa maelekezo Spika akijiuzulu barua anapeleka kwa nani?. Hili halijufanyika!. Why?. Mahakama itajibu...

Pascal barua ya Ndugai imeandikwa kwa capital letters. Lile ni tangazo la kujiuzulu Kama tangazo la biashara. 😝😝

Ndiyo wana Mapinduzi wanavyowacha madaraka. Katiba Na kanuni kasomeni majumbani kwenu huku mnakula ugali
 
Tafadhali Mwenyekiti Mbatia, ni hivi Ndugai nakuheshimu sheria wala katiba wakati akiwa spika. Kwa nini tumlazimishe afuate Sheria sasa ikikumbukwa kuwa wakati wa utawala wake hakuzifuata hizo sheria??
 
Mwenyekiti wa Chama NCCR Mageuzi ndugu Mhandisi James Mbatia atinga Mahakama Kuu Dar Es Salaam leo kwa ajili ya Kufungua kesi ya Kupinga Mchakato wa uteuzi wa mgombea wa Uspika wa Bunge.

Pia soma

Mrithi wa mtikila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom