James Mbatia: Samia Suluhu anahujumiwa

James Mbatia: Samia Suluhu anahujumiwa

Anapwaya tu. Hahujumiwi. Hana calibre ya kuongoza Taifa. Haya mambo ya usawa wa kijinsia (+corona) vimemsaidia kufika hapo. Magufuli alisema kuwa alitaka mgombea mwenza awe mtoto wa Mwinyi. Magufuli akaamua kumpa Samia kwa vile ni mwanamke.

Katiba yetu inampa madaraka makubwa sana Rais. Kama ana akili ya kuyatumia vizuri, basi anafika mbali. Huyu mama hana hiyo akili kabisa. Mpaka 2025 hakuna mtu atakuwa na imani na wanawake kwenye nafasi kubwa za uongozi kama hiyo.
Samia ni fungu la kukosa , anaweza mitala tu . Nchi inahitaji uponyaji hii.
Samia amemwachia Nchi Mwigulu Mpango na Majaliwa.
Huyu bibi huyu ni bure kabisa.
 
Angekuwa na akili hata ndogo, angeteua Baraza lake la Mawaziri. Awe na watu waomtii yeye na siyo watu wanaomtii yule aliyezikwa kule Chattle.
Akili anazo. Mnakosea kudhani kwamna Rais anashauriwa vibaya. Hivyo vinavyofanyika ni matakwa yake mwenyewe.
 
Kuiongoza nchi ambayo raia wake(sisi ,wasomi na baadhi ya viongozi) tuna hulka ya "kwenda na upepo" na kuwa MABINGWA WA MANENO MDOMONI...ni kazi sana....

Ukitaka utujue watanzania basi ziangalie nguvu za USHAWISHI za Komredi Haji Manara.......

So what to do.....

Hayati JPM alitujua vyema tabia zetu....kuna kipindi alionekana "MKALI KUPITILIZA" ila hulka yake iliweza KUWATULIZA VYEMA VIONGOZI WA CHINI YAKE.....

Mh.Kikwete alikuwa ni mwanademokrasia aliyewaamini sana VIONGOZI WALIO CHINI YAKE....ila kuna maeneo walimuangusha vyema tu.....

WENGI WA WATANZANIA HATUPENDI KUJISIMAMIA+KUJIONGOZA MAMBO YETU BALI tunapenda SANA KUSIMAMIWA.....

Eee Mwenyezi Mungu endelea kumpa nguvu KUBWA kipenzi chetu mh.Rais SSH ,aaaamin aaaamin 🙏

SIEMPRE JMT
SIEMPRE SSH💪
 
Nimesema wapi kuwa anashauriwa vibaya? Kwa hiyo unaona yanayofanyika ni ya mtu mwenye akili nzuri, ama Kiswahili hiki wewe unakielewaje? Narudia tena - huyu mama hana akili ya kutosha kuongoza nchi.
Akili anazo. Mnakosea kudhani kwamna Rais anashauriwa vibaya. Hivyo vinavyofanyika ni matakwa yake mwenyewe.
 
Nimesema wapi kuwa anashauriwa vibaya? Kwa hiyo unaona yanayofanyika ni ya mtu mwenye akili nzuri, ama Kiswahili hiki wewe unakielewaje? Narudia tena - huyu mama hana akili ya kutosha kuongoza nchi.
Na hili ndo jambo ambalo watanzania wengi wameshaanza kupata consensus nalo.Kama mwananchi wa kawaida nahisi namlipia mshahara kiongozi hewa
 
Mama hana uwezo wa kuongoza nchi, hilo liko wazi.

Ukitaka kujua hana uwezo, aongee kutoka kichwani mwake bila kusoma speech ndio utajua pale watanzania tumeingia cha kike.
Hongera Kwa kuwa na muono( view) mpana. Cha ajabu sasa anajiona anaweza na kuimudu hiyo nafasi kiasi cha kutamani agombee kabisa. Kuna Uhusiano mkubwa sana kati ya uwezo wa Mtu kuyajua mambo na jinsi anavyoweza au kutoweza kuyaeleza Kwa wengine.
 
Samia ni fungu la kukosa , anaweza mitala tu . Nchi inahitaji uponyaji hii.
Samia amemwachia Nchi Mwigulu Mpango na Majaliwa.
Huyu bibi huyu ni bure kabisa.
Mkuu uwe na adabu na mdomo wako wenye KEDI NA DHIHAKA.....
 
Akili aitoe wapi limelelewa na kufundwa kutii ndoa ya wake wengi tu basi. Aibu sana kwa taifa. Nchi imelaanika hii.
Haya umeshafika "orgasm" baada ya kutoa maneno ya dhihaka na matusi....
 
Back
Top Bottom