Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Rais wa WaSafi, Rais wa TFF, Rais wa TLS..Kwani Tanzania tuna rais? Naam! Tunaye, nimekumbuka tuna rais wa bao, ngumi, na nini tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa WaSafi, Rais wa TFF, Rais wa TLS..Kwani Tanzania tuna rais? Naam! Tunaye, nimekumbuka tuna rais wa bao, ngumi, na nini tena?
Mimi nimeajili watu, CHADEMA Unachukulia poa sana kama ndoa yako ya mitala bibie 😂😂😂Na wewe subiri Mbowe aje kukuteua 😄😃🤣😜😜
Nami nimeajiri watu pia...na teuzi juu.....Mimi nimeajili watu, CHADEMA Unachukulia polia poa sana kama ndoa yako ya mitala bibie 😂😂😂
Mimi nimeajili watu zaidi ya 30Kweli 😜
Msubiri Mbowe akuteue "ndotoni"....
Mimi nina 7 tu ila........🤣🤣🤣🤣Mimi nimeajili watu zaidi ya 30
Haaa haa just haa haa urithi wa ndoa ya mitala sio😂 Bibie utatumiwa mpaka amrikiyama 😂😂😂Nami nimeajiri watu pia...na teuzi juu.....
ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO😜😜🤣🤣
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.....🤣🤣Haaa just haa urithi wa ndoa ya mitala sio😂
Tayari ushatepeta mtoto wa teuzi..😂😂 ngoja ni kwambie kitu, mimi nakumbusha tu watawala waheshimu haki na utu wetu watanzania. Sihitaji teuzi na sina njaa. Napigania haki na usawa kwa wote pamoja na wewe mramba mikojo ya watawala.Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.....🤣🤣
Nawe unataka kuolewa ?!!!
Watu werevu hupendelea wanawake walio vizuri upstairs. Huyu anaongea vitu soft sana! Yeye anadhani Dunia ya Leo watu wanaoa vifua vilivyotuna badala ya mtu aliyetuna Ubongo! Kusimama Kwa Matiti Ni Sifa ya mpito tu kwa mwanamke.😂😂😂😂😂😂 kifua chake kimejaa matiti na akishajisiliba wanja ana sura ya kuvutia si kama wale wachezaji wa soka wenye sura mbaya na vifua flat vifua. Njemba akajigonga wa KUDEMKA akakubali kuwa mke wa nne. 😜😜😜
Je, ni akina nani wanaomhujumu Samia? Axis of Evil AKA timu dhalimu mwendazake!?
Wewe mchezaji ,wewe refa kufikia kusema NIMESHATEPETA 🤣Tayari ushatepeta mtoto wa teuzi..😂😂 ngoja ni kwambie kitu, mimi nakumbusha tu watawala waheshimu haki na utu wetu watanzania. Sihitaji teuzi na sina njaa. Napigania haki na usawa kwa wote pamoja na wewe mramba mikojo ya wwataUyuuy
Tayari ushatepeta mtoto wa teuzi..😂😂
Umeshapanic 😂😂😂Wewe mchezaji ,wewe refa kufikia kusema NIMESHATEPETA 🤣
Wewe mwenyewe unaramba mik..o ya Mbowe na genge lake.....acha kujiboost....huna lolote....umejaa njaa tu kama wengine......🤣
Je, ni akina nani wanaomhujumu Samia? Axis of Evil AKA timu dhalimu mwendazake!?
That is not a pointMama hana uwezo wa kuongoza nchi, hilo liko wazi.
Ukitaka kujua hana uwezo, aongee kutoka kichwani mwake bila kusoma speech ndio utajua pale watanzania tumeingia cha kike.
Haya umeshafika "orgasm" baada ya kutoa maneno ya dhihaka na matusi....
Ni kama anaburuzwa maana anayosema hadharani sio anayofanya. Anasema polisi tendeni haki kesho polisi wanaborongaNimesema wapi kuwa anashauriwa vibaya? Kwa hiyo unaona yanayofanyika ni ya mtu mwenye akili nzuri, ama Kiswahili hiki wewe unakielewaje? Narudia tena - huyu mama hana akili ya kutosha kuongoza nchi.