Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Nccr mageuzi kitashika namba mbili kwa idadi ya wabunge baada ya Ccm na Ndio kitaunda kambi ya Upinzani
NCCR mageuzi haitopata hata viti 3 vya ubunge. Mark my words. Kama CCM.wana imani basi wangewaachia viti vya ueakilishi wapinzani Zanzibar baada ya CUF kususia uchafuzi wa marudio ili kupata judtification ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. CCM wana roho mbaya kumzidi shetani mwenyewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
 
Mbatia hajawahi kuhama chama, kumwita hilo jina unakosa adabu

Vipi Tundu lissu aliyewahi kuhama chama unaweza kumwita hivyo?
Kwa Mujibu wa MWL. J.K.Nyerere huyo mtu wako anaitwa mwanasiasa Malaya malaya. Anatongozwa na wanaume anakubali tuu. Hao Wanasiasa malaya malaya hatuta waruhusu watuvurugie nchi pamoja na mabwana zao inzi wa kijani. Ni aibu sana janaume zima kutongoxwa halaf unakubali nipo tayar *****.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia? Nyambafu kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
MBATIA HAJAWAHI KUWA MUASISI WA UPINZANI TANZANIA.
KASOME HISTORIA, ELIMU YA URAIA NA SIASA YA TANZANIA ITAKUWEZESHA KUWAJUA NI AKINA NANI WAASISI WA UPINZANI TANZANIA
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umekuwa speaker wa Mbatia. Jenga nyumba yako kwanza ndipo uhangaike na ya jirani yako.
 
Nccr mageuzi kitashika namba mbili kwa idadi ya wabunge baada ya Ccm na Ndio kitaunda kambi ya Upinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota! NCCR hakitopata zaidi ya viti 3. Mark my words! Vyama vitakavounda kambi ya upinzani ni Chadrma ikifuatiwa na ACT. In fact kuna hatari hata hicho kiti kimoja kama NCCR watapata kama hawatashirikiana na CHADEMA. na ACT.
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejikita zaidi kwa Mbatia ningeweza kukuelewa lakini wewe issue yako hapa ni Mbowe...umesahau kuwa Mbowe hana bei lakini Mbatia wako kwa sasa ana uhuru wa kufanya mikitano na kupewa ulinzi....BIG NO...hapo hatudanganyiki tuletee mwingine tumpime.
KUB anaerubunika hatatufaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom