Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ateuliwe tena kwenye viti maalumu kama enzi za JK!!!!😂😂😂😊 itishine tume huru mjue kuwa hamjue au hamkujipanga
 
huyu jamaa ukifatilia post zake na hoja zake ni jamaa flani hv mwenye uelewa mdogo na akili ndogo sana kama za mtoto wa chekechea hasa kwenye kujenga hoja,ila ukiangalia kwa umakini baada ya Mbatia kwenda ikulu nahisi jamaa Kuna kitu kikubwa anakijua hasa makubaliano baina ya jiwe na Mbatia tusimpuuze sana huyu jamaa wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia ameanza kupigania demokrasia Wewe ulikuwa hujazaliwa kijana

Vijana wa Mbowe mjifunze kuheshimu watu

Sent using Jamii Forums mobile app
We Jamaa kama Mbatia anakulipa au umeamua kumsaidia utamsaidia zaidi kwa kuacha kuleta hizi post ambazo hazijengi kwa kuwa-attack wapinzani wengine..., ila kama nia yako ni kumharibia then you are doing a perfect job
 
Kamanda unaumia chama cha ufipa kinachojifia kifo cha mende [emoji3]

Mbatia amewashika pabaya
We Jamaa kama Mbatia anakulipa au umeamua kumsaidia utamsaidia zaidi kwa kuacha kuleta hizi post ambazo hazijengi kwa kuwa-attack wapinzani wengine..., ila kama nia yako ni kumharibia then you are doing a perfect job

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda usitoe machozi Mbatia ameanza kuwa mbunge wakati wewe hujazaliwa

Usikimbie October tukutane hapa nitakuambia Nccr ina wabunge wangapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga, utamwambia NCCR ina wabunge wangapi kwani watakuwa wamefichwa na utawajua wewe tu ili uwaambie wengine! Unatakiwa upambane serikali iboreshe elimu ya MEMKWA!
 
Huyu James Mbatia ndio unasema atakuwa Mbunge wa wapi vile,Ati atafanya wonders where?Hivi barabara na kusambaza maji ni kazi ya Mbunge au serikali?Acha upumbavu Mbatia keshaisha kisisas
 
Kamanda unaumia chama cha ufipa kinachojifia kifo cha mende [emoji3]

Mbatia amewashika pabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja mimi sio mwanasiasa wala sina chama (wanasiasa wote kwangu ni different sides of the same coin)

Pili kwa point zako finyu unamfanya Mbatia aonekane kazi yake ni kupambana na Chadema na Upinzani na sio Chama Tawala (Jambo ambalo anaonekana kama political prostitute) yupo pale kupambana na watu na sio issues

Kwahio narudia tena kama nia ni kumnufaisha acha kufanya unachokifanya sababu hoja unazoleta ni hafifu
 
Nccr mageuzi ikipata wabunge wa3 ikatambike.kwa sasa watanzania hawataki maigizo.vyama vyote vinavyoigiza visahau.
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tunataka kuitwa wapinzani wote ni mashoga basi tukubali kampeni hizi za lumumba na jiwe. Nani amesema hawarudi? Hivi tumefikia kupangiwa na jiwe Nani atuwakilishe Nani arudi mjengoni na nani asirudi? Tunakataa kwa nguvu zote take ya serikali za mittaani yajirudie!!! Tutazipiga wait. Unazungumzia maji na Barbara hai?
 
Aliposhindwa ubunge mwaka 1990 Jiwe alijiunga na vuguvugu la National Convention for Constitution Reform, Ben ndo alimrudisha chama tawala 1995. kwa maneno mengine mboga mboga inaongozwa na NCCR.
 
Back
Top Bottom