MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Huyu hata vunjo hatumjui anafananaje! Hajawahi kukanyaga humu, ubunge atausikia kwa redio
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako bao lako bora angelilia vidongeMod wangekuwa na akili km zako huwenda jamii forum isingekuwepo leo
Jamii forum ni kwa Watanzania wote sio mali ya Chadema
Kama hutaki mawazo km haya kaangalie Chadema t.v.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wananchi tumemchoka Mbatia , tunajuta kwa kumchagua, E mwenyezi mungu utuongoze na utusaidie tusije rudia makosa kama tuliyoyafanya 2015.Chadema mnaumia Nccr mageuzi kuchukua nafasi yenu? Mtafute kazi ya kufanya
Sisi Wananchi tumeichoka Chadema Tunataka chama kinachojielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kushindanishwa kuuwa upinzani Hadi kuaandaa wapinzani juu ya upinzani Moto umeongezewa petrolMbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical
Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu
Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo
Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania
Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara
Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kushindanishwa kuuwa upinzani Hadi kuaandaa wapinzani juu ya upinzani Moto umeongezewa petrol
Mwanaume sibishani na sidiria
Na nyinyi poreni mali zake. Acha kulia lia hapa kama mtoto yatimaHakuna Sehemu nimetaja European union km marafiki zetu wa asili!
Ujerumani, Uingereza na uchina hawa hawawezi kuropoka kitu kuhusu Tanzania
Hata tukikwaruzana tunapatana
USA hajawahi kuwa rafiki wetu wa asili anajipendekeza tu ili apore mali zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume sibishani na sidiria
Na nyinyi poreni mali zake. Acha kulia lia hapa kama mtoto yatima
Jifunze kwanza kuandika binti yangu
Chadema hamkuzaliwa na ujinga
Wasomi wapo wamejaaAcheni ujinga mnadiscuss nin wakat hali mbaya nchini, iv hii nchi ina wasomi kweli?
Chadema hamkuzaliwa na ujinga
Kivipi labda vunjo
Anakuchukua wewe badala yake
Kivipi labda vunjo
Anakuchukua wewe badala yake
Nimekupuuza rasmi