Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Uchaguzi 2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

Ok
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaidhalilisha tume ya uchaguzi. Yani mmeshapanga matokea mwaka mmoja kabla.
No wonder mataifa makubwa yanawatenga sasa
 
Hahaha unakata Wewe na nani ? Sisi Wananchi tumeichoka Chadema Tunataka chama kinachojielewa ila sio Wazee wa Matusi chadomo
Kama tunataka kuitwa wapinzani wote ni mashoga basi tukubali kampeni hizi za lumumba na jiwe. Nani amesema hawarudi? Hivi tumefikia kupangiwa na jiwe Nani atuwakilishe Nani arudi mjengoni na nani asirudi? Tunakataa kwa nguvu zote take ya serikali za mittaani yajirudie!!! Tutazipiga wait. Unazungumzia maji na Barbara hai?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuleta tarifa zo wongo hapa..wewe ilishatembelea jimbon kwake ukaona matatizo yalivyokuwa mengi, kwa tarifa yako hata akija kugombania udiwani hapati, kwa kifupi tumemchoka. Hana alichokifanya tangu apewe fursa ya ubunge. Mwambie tumemchoka. Mfikishie ujumbe kwamba barabara ya Mandaka imemfanya asiaminike .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mataifa magani makubwa hawa Marekani anayesulubiwa na corona?

Marafiki zetu wa siku zote ni China,ujerumani na Uingereza Huwezi kuwasikia hawa wanaropoka kitu kuhusu Tanzania
Ok

Unaidhalilisha tume ya uchaguzi. Yani mmeshapanga matokea mwaka mmoja kabla.
No wonder mataifa makubwa yanawatenga sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe upo jimbo la Arusha mjini unazungumza mambo ya vunjo utayajilia wapi?

Mbatia amewashika pabaya
Acha kuleta tarifa zo wongo hapa..wewe ilishatembelea jimbon kwake ukaona matatizo yalivyokuwa mengi, kwa tarifa yako hata akija kugombania udiwani hapati, kwa kifupi tumemchoka. Hana alichokifanya tangu apewe fursa ya ubunge. Mwambie tumemchoka. Mfikishie ujumbe kwamba barabara ya Mandaka imemfanya asiaminike .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wote ni Ccm, hata Wewe umezaliwa Ccm
Aliposhindwa ubunge mwaka 1990 Jiwe alijiunga na vuguvugu la National Convention for Constitution Reform, Ben ndo alimrudisha chama tawala 1995. kwa maneno mengine mboga mboga inaongozwa na NCCR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe upo jimbo la Arusha mjini unazungumza mambo ya vunjo utayajilia wapi?

Mbatia amewashika pabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana unaambiwa huna hoja za msingi...kwani kuishi kigoma utashindwa kujua matatizo ya songea kama wew ni mzaliwa wa pale. Fikisha ujumbe kwa aliyekutuma kuwa Watu wamemchoka hana jipya ubunge asahau kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnaumia Nccr mageuzi kuchukua nafasi yenu? Mtafute kazi ya kufanya
Sisi Wananchi tumeichoka Chadema Tunataka chama kinachojielewa
Ndio maana unaambiwa huna hoja za msingi...kwani kuishi kigoma utashindwa kujua matatizo ya songea kama wew ni mzaliwa wa pale. Fikisha ujumbe kwa aliyekutuma kuwa Watu wamemchoka hana jipya ubunge asahau kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wote ni Ccm, hata Wewe umezaliwa Ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila mbongo ni mcommnist kama unavyofikiria. Watu tuliozaliwa wakati wa chama kimoja, hatukuchagua wala kuamua ndo maana watu kama Mbatia walipata misuko suko vyuoni. Wewe naona una stress za Corona kutorudi chuoni umeamua kuongea pumba. JF ni ya watu makini hivyo kaa utafakari ndo uandike.
 
Huo ubeberu wako ulionao umeisaidia nini Nchi ukiachilia mbali kuporomosha matusi?
Siyo kila mbongo ni mcommnist kama unavyofikiria. Watu tuliozaliwa wakati wa chama kimoja, hatukuchagua wala kuamua ndo maana watu kama Mbatia walipata misuko suko vyuoni. Wewe naona una stress za Corona kutorudi chuoni umeamua kuongea pumba. JF ni ya watu makini hivyo kaa utafakari ndo uandike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia muasisi wa Upinzani Tanzania, kijana msomi kutoka udsm ile iliyokuwa critical

Huyu kipaumbele kwake ni Tanzania, kipaumbele chake sio kuitana makamanda tu

Naweza kusema ni mpinzani wa kweli mno alifukuzwa shule ya u injinia Udsm kwa kuwatetea Watanzania Ndio maana alipongombea ubunge miaka ya 90 alishinda kwa kishindo

Ndani ya miaka kumi iliyopita tumekuwa na kiongozi wa upinzani bungeni anayetetea zaidi chama chake kuiko kutetea maslahi mapana ya Tanzania

Amekuwa mbunge kwa awamu tatu hana papara amewapigania Watanzania kwa hekima kubwa, Mbatia ukifika jimboni kwake ni kama amepeleka huduma zote za kijamii tofauti na Jimbo la Kub wa sasa ambako kuna shida ya maji na barabara

Kwa kuwa Chama cha upinzani Kilichopo hakitarudi bungeni tunakuomba Mbatia beba jahazi kuongoza Watanzania Katika mawazo mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Empty set
 
Hakuna Sehemu nimetaja European union km marafiki zetu wa asili!

Ujerumani, Uingereza na uchina hawa hawawezi kuropoka kitu kuhusu Tanzania

Hata tukikwaruzana tunapatana

USA hajawahi kuwa rafiki wetu wa asili anajipendekeza tu ili apore mali zetu
European Union si wamekulima barua kibao?
Au hujui? Tbc hawawezi kuonyesha hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ubeberu wako ulionao umeisaidia nini Nchi ukiachilia mbali kuporomosha matusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
tuwa hata hii nchi haitambuliwa na mtu duniani zaidi ya wasomi wa zamani waliosikia hotuba za Nyerere. Ukija nje taja jina la Nyerere siyo Tanzania ndo utajulikana unatokea wapi,
 
Hakuna Sehemu nimetaja European union km marafiki zetu wa asili!

Ujerumani, Uingereza na uchina hawa hawawezi kuropoka kitu kuhusu Tanzania

Hata tukikwaruzana tunapatana

USA hajawahi kuwa rafiki wetu wa asili anajipendekeza tu ili apore mali zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ni kiazi sana.
Kwa hio hujui European Union ni nini? Unakomaa na ujerumani.
Hapa unanipotezea muda
 
Back
Top Bottom